Wanayanga hawamtaki Manara, kuna watu watarudisha kadi akiludi Yanga

Wanayanga hawamtaki Manara, kuna watu watarudisha kadi akiludi Yanga

I will be short

manara ni time bomb atakuja kuibomoa yanga as a big brand. hatakiwi hata Kusongea karibu na wachezaji wa yanga.

with big names in yanga huyu jamaa will destroy everything Hersi built in years of work.

mzee wangu na tawi lake. wanaplan ya kuludisha kadi. manara akiludi tu yanga.
mzee ni mwenyekiti wa tawi kubwa sana.

reason : manara hana elimu, hana akili , mpolopokaji, destructive, problematic, bad vibe person.

in short amtaki kabisa. it might cost a big problem kwenye general meeting. Hersi akigombea tena. wanaweza mtema kisa manara.

Hersi stay tf off manara. atakualibia kila kitu.
Una kithembe kwenye vidole? Atakualibia' ni lugha ya taifa gani?
 
Mwenzenu ameshajipangia na jukumu kabisa

1721662883729.png


😀😀😀
 
Ila kaeleweka mlitaka aandikeje embu anaejua aandike kwa correction. Watu mnachukuliaga kuandika kitu poa sana ee??

Mkuu umejitaidi sema ujumbe umefika. Ila

Manara mbona yupo yanga kitambo tuu sema now yaani akirudi ndo makamera yanaruhusiwa kumrecord akisema neno yanga in public mbona🤕...
Hebu
Ndio
 
Ndio ameandika nini ? Kiswahili kibovu ndio janga Taifa sasa nani atatukomboa Taifa hili....sehemu kuandika Hakuwa....unakuta Akuwa....Hapana....unakuta Apana....nani atanusuru Taifa letu kizazi hiki hovyo kabisa
 
I am good in English
The sentence is grammatically correct. However, the usage is incorrect.

I am good at English is the correct phrase.

The preposition "at" is used to indicate proficiency or skill in a subject, while "in" is used to indicate location or a field of study. Therefore, "I am good at English" properly conveys that you has proficiency or skill in the English language.
 
The sentence is grammatically correct. However, the usage is incorrect.
I am good at English is the correct phrase.
The preposition "at" is used to indicate proficiency or skill in a subject, while "in" is used to indicate location or a field of study. Therefore, "I am good at English" properly conveys that you has proficiency or skill in the English language.
😂😂😂😂 , elimu ya mchangani sio
 
I will be short

manara ni time bomb atakuja kuibomoa yanga as a big brand. hatakiwi hata Kusongea karibu na wachezaji wa yanga...
Chuki za mzee wako ndio kipimo cha wanayanga wote 😁😁😁😁😁😁
 
What I know about yanga ni kwamba ukiwa nao watakua na wewe ukiwaacha wanakuacha na kukusahau....mfano wakina mayele na feytoto.

So kwa Manara hata afanye nini kwa ukubwa huo ulio mpa hawezi kubomoa chochote labda mapunguani wachache wanaonda ibadani kwa sababu ya mchungaji
 
Back
Top Bottom