Wanayanga hawamtaki Manara, kuna watu watarudisha kadi akiludi Yanga

Mwambie huyu Mzee wako ambaye hataki kuzeeka arudishe hiyo kadi tuone kama yanga itapotea au la
sio yeye tu na watu almost 100 + . Hersi atajenga vita mbaya sana. He shouldn't try it
 
Una kithembe kwenye vidole? Atakualibia' ni lugha ya taifa gani?
 
Hebu
Ndio
 
Ndio ameandika nini ? Kiswahili kibovu ndio janga Taifa sasa nani atatukomboa Taifa hili....sehemu kuandika Hakuwa....unakuta Akuwa....Hapana....unakuta Apana....nani atanusuru Taifa letu kizazi hiki hovyo kabisa
 
I am good in English
The sentence is grammatically correct. However, the usage is incorrect.

I am good at English is the correct phrase.

The preposition "at" is used to indicate proficiency or skill in a subject, while "in" is used to indicate location or a field of study. Therefore, "I am good at English" properly conveys that you has proficiency or skill in the English language.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ , elimu ya mchangani sio
 
I will be short

manara ni time bomb atakuja kuibomoa yanga as a big brand. hatakiwi hata Kusongea karibu na wachezaji wa yanga...
Chuki za mzee wako ndio kipimo cha wanayanga wote 😁😁😁😁😁😁
 
What I know about yanga ni kwamba ukiwa nao watakua na wewe ukiwaacha wanakuacha na kukusahau....mfano wakina mayele na feytoto.

So kwa Manara hata afanye nini kwa ukubwa huo ulio mpa hawezi kubomoa chochote labda mapunguani wachache wanaonda ibadani kwa sababu ya mchungaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…