Wanayanga SC mmemsikia na kumuelewa Mchambuzi Oscar Oscar wa EFM na TvE?

Wanayanga SC mmemsikia na kumuelewa Mchambuzi Oscar Oscar wa EFM na TvE?

Sio Bangi

Wamepata exposure ya kuuanza msimu mpya

Siku 5 zinatosha kabisa kubadili hali ya hewa na kupanga mikakati mipya
Unazungumziaje siku kama 6 hivi zitazopotea kwa ajili ya safari na mapumziko? kwa timu mpya kama Yanga ilihitaji zaidi kuwa pamoja kujenga muunganiko. CAF ipo kwenye kona
 
unazungumziaje siku kama 6 hivi zitazopotea kwa ajili ya safari na mapumziko? kwa timu mpya kama Yanga ilihitaji zaidi kuwa pamoja kujenga muunganiko. CAF ipo kwenye kona
Zinatosha kubadili mazingira na kupanga mikakati ya msimu mpya.

Wachezaji hawaitaji mazoezi tu kila wakati, bali na mipango ya timu husika ya kujiandaa na msimu mpya inayoweza kuelezwa kwa mdomo tu na makocha au wataalamu wa michezo kwa ujumla wake.

Naunga mkono safari yao kama ilipata mfadhiri ambaye hakuitia hasara timu.
 
Leo ni tarehe 16 na ndio siku ambayo Yanga anawasili Morroco, tar 17 ndo anaanza mazoezi rasmi kwahyo ukianza kuhesabu kutoka hapo mpaka tar 26, hapo utapata siku 10 za mazoezi zilizokamilika,hiyo siku ya tar 26 jioni ndo safari inaanza ya kurudi Tanzania na wanafika hapa nyumbani tar 27 and in simple calculation wanakuwa wametumia siku 11 za mazoezi na safari ya kurudi nyumbani

Kambi za moazezi nje ya nchi yako huwa sio za mwezi mzima ila ni siku chache, kabla msimu hujaanza arsenal waliweka kambi ya siku tano kule nchini Scotland na wakacheza mechi mbili za kirafiki kati ya Herbinian na Rangers

Hizo ni kambi ambazo huwa ni za kimkakati zaidi na kuwafanya wachezaji kuwa tayari na next season
 
Leo ni tarehe 16 na ndio siku ambayo Yanga anawasili Morroco, tar 17 ndo anaanza mazoezi rasmi kwahyo ukianza kuhesabu kutoka hapo mpaka tar 26, hapo utapata siku 10 za mazoezi zilizokamilika....
Ndio kilichopelekea game ya kwanza ya arsenal kupakatwa na brentfod.

namaanisha arsenal alifungwa na timu iliyopanda daraja msimu huu
 
Kwani huyo Oscar Oscar ni nani mpaka tumsikilize! Akafie zake mbali huko.
 
Mipango haipangwi na wachezaji. VIONGOZ ndio hupanga kwa ushauri wa team coch. WACHEZAJI NI WATEKELEZAJI WA MWISHO
We hujawahi kuona watu wa Daresalaam wanaenda kufanya semina nje ya Daresalaam hata kama ingeweza kufanyika Daresalaam.
Kupokea mafunzo kunaendana na mazingira yaliyoandaliwa kwa mafunzo hayo.

Iwe kwa watendaji au watekelezaji wa ajenda husika.

Natumaini Nchimbi ameifurahia safari ya Morroco, na kusababisha kuzingatia aliyoyapata huko safarini. Akirudi atakuwa wa moto zaidi.
 
Leo ni tarehe 16 na ndio siku ambayo Yanga anawasili Morroco, tar 17 ndo anaanza mazoezi rasmi kwahyo ukianza kuhesabu kutoka hapo mpaka tar 26, hapo utapata siku 10 za mazoezi zilizokamilika,hiyo siku ya tar 26 jioni ndo safari inaanza ya kurudi Tanzania na wanafika hapa nyumbani tar 27 and in simple calculation wanakuwa wametumia siku 11 za mazoezi na safari ya kurudi nyumbani

Kambi za moazezi nje ya nchi yako huwa sio za mwezi mzima ila ni siku chache, kabla msimu hujaanza arsenal waliweka kambi ya siku tano kule nchini Scotland na wakacheza mechi mbili za kirafiki kati ya Herbinian na Rangers

Hizo ni kambi ambazo huwa ni za kimkakati zaidi na kuwafanya wachezaji kuwa tayari na next season
Ndiyo maana ligi ilipoanza wakafungwa na Brentford
 
Back
Top Bottom