WANAYANGA SC MSIRUDIE KOSA HILI

Duuuuh, we jamaa muongo, yanga kafika robo fainali lini... Hyo 1998 alifika hatua ya makundi yani 16 bora na sio robo fainali
Makundi mawili yenye timu nne nne unaita 16 bora?! Mwalimu wako wa hesabu nani Bwana Mdogo?!
 
Daaaaaaah wewe makundi tena robo fainali mbona sijakuelewa, fafanua kidogo?
Pili naomba ushahidi wa Yanga kufika robo fainali kwenye club bingwa Afrika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatua ya Yanga kuja uwanjani kuwazomea Simba mechi za kimataifa ni mchango tosha kabisa wa Yanga.
Simba hatutaki yanga itushangilie na hawawezi, huu ndio upinzani na utani wa jadi..
Ukitaka Yanga awashangilie SIMBA basi Atolewe FA.. Ashushwe pale juu ya ligi na ifikie hatua anaelekea kupoteza ubingwa ndio utawaona wakisali simba awabebe wapate nafasi ya CAF.. ila kwa sasa hawana uhitaji huo.

Tofauti na hapo binafsi naenjoy upinzani uliopo.
 
Daaaaaaah wewe makundi tena robo fainali mbona sijakuelewa, fafanua kidogo?
Pili naomba ushahidi wa Yanga kufika robo fainali kwenye club bingwa Afrika

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka 1998 Yanga alicheza makundi CAF CL ambapo kipindi hicho ilikuwa ni timu 8, kwa maana ya kila kundi timu 4,.. ambayo ndio robo fainal wanayoita..ila kiuhalisia ilikuwa makundi yenye timu 8, 4/4.

Kwa kumbukumbu Yanga walimaliza mkiani na point 2 negative ya magoli 16.. kati ya mechi 6 hakuna aliyoshinda.
 
Hebu weka hiyo kanuni ya CAF inayosema kuwa timu ikiingia robo fainali basi nchi husika huzawadiwa nafasi mbili za ushiriki
Ninachojua ni suala la point ambazo nchi husika inazo ambazo hupatikana kwa timu za nchi husika kuingia hatua ya makundi na kuendelea mbele mara nyingi zaidi na sio kufika robo fainali kwa ndondokea ya mara moja
 
Write your reply...Ukisikia ushoga ndiyo huo watu kama nyinyi huwa tunawasaka kuwaziba na superglue ya mnyeo mmekuwa kama wacheza kibao kata mlitakiwa kwanza mmwambie yule mropokaji hasiejua maana ya uafisa habari afute kauli yake ya ushoga mbele ya wanahabari kama umesahau nakukumbusha alitamka nanukuu Kuanzia leo hatutoishangilia tena Yanga iwe ligi ya nyumbani au mashindano ya kimataifa mwisho wa kunukuu
 
Robo kwakua zilibaki timu 8. Kwakua ata ziki baki 4 bado inawezwa chezwa ligi ndogo wakachukuliwa mshindi wa kwanza na wapili ikachezwa fainali ni muundo tu waliamua. kwa ujumla zikibaki timu 4 ni nusu fainali, Ziki baki mbili zinacheza fainali.
Kama bado hujaelewa Tambua kwamba hatua wanayo pigania simba kwa sasa ikifuzu inaingia kwenye Makundi ambayo zitabaki timu 8 nisawa na kusema Simba wanapigania kucheza Robo fainali uu ni muundo wa Caf tofau4thi na Uefa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yale makundi ya mapinduzi Cup na yenyewe ni robo fainali??kwa hiyo timu zinaingia robo fainali moja kwa moja mashindano yanapoanza??maana ukitoka ktk makundi yake ya Mapinduzi inafuata nusu fainali kisha fainali,sasa Yale makundi ni robo fainali??Usilazimishe kitu ambacho hakipo!!!!Yanga ilifika hatua ya makundi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua kwenye ile michuano Timu zilianza Ngap? Vyovyote utakavyo sema ila katika michuano ya ligi ya mabingwa mwaka 1998 yanga ilikua moja ya timu 8 bora katika michuano iyo. Kwa sasa Simba ina pambana iingie katika timu 8 bora za mashindano ya ligi ya Mabingwa 2019.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya waungwana hushindana kwa hoja. Uje sasa unipe kanuni iliyotumika kupewa timu 4. Mbili club bingwa na mbili shirikisho.
 

Attachments

  • FB_IMG_15596753977006166.jpg
    18.4 KB · Views: 16
  • Screenshot_2019-06-04-14-45-14-1.png
    126.4 KB · Views: 18
Mi nasubiri kuona press release ya yanga wakijitoa klabu bingwa Africa ksb walisema hawawezi kukubali kubebwa na Simba kwamba watashiriki klabu bingwa kwa wao kuchukua TPL hivyo kwa taarifa hiyo nahisi yanga watachomoa
 
Unaishi Dunia ipi wewe?

Man U akamshangilie Liverpool?
Dhana ya ushabiki was mpira itakuwa imefika mwisho.

Yanga hata siku haitaomba ushangiliwe na Mikia. Itakuwa kujitia mkosi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…