Nkerebhuke
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 796
- 2,026
Propaganda ni kitu kinachotajwa sana kwenye ulingo wa siasa na vita hasa pale panakuwa na pande mbili zinazochuana kupata ushawishi wa jambo flani.
Hali kadhalika wakati wa vita ''propaganda" huchukua mkondo wake kama njia ya kuongeza au kupunguza hamasa ya mapigano kwenye uwanja wa medani.
Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada, baada ya uvamizi wa Russia ndani ya ardhi ya ukraine kumeonekana kuna discrepancy kubwa ya uelewa kati ya " fake news na propaganda'' hali hii imetokana na watu wengi kuwa na mahaba na upande flani.
Kwa faidi ya msomaji naomba kuwakaribisha nguli wa vita na siasa na vita kutoa ufafanuzi juu ya '' fake news na propaganda"
asanteni sana
Hali kadhalika wakati wa vita ''propaganda" huchukua mkondo wake kama njia ya kuongeza au kupunguza hamasa ya mapigano kwenye uwanja wa medani.
Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada, baada ya uvamizi wa Russia ndani ya ardhi ya ukraine kumeonekana kuna discrepancy kubwa ya uelewa kati ya " fake news na propaganda'' hali hii imetokana na watu wengi kuwa na mahaba na upande flani.
Kwa faidi ya msomaji naomba kuwakaribisha nguli wa vita na siasa na vita kutoa ufafanuzi juu ya '' fake news na propaganda"
asanteni sana