BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,006
Napenda kuwapa pole wale wote walioshindwana na Ndoa na kuamua kuelekea kulsuluhisha
mahakamani baada ya Muda mrefu wa vikao vya kusuluhishana kwa wazazi
Polen sana sana na Mungu atawalinda na kuwabariki ila lipo jambo jema Mungu huwa anatoa pale unapomwomba...yawezekana ulipenda kwa kutumia macho yako bila kumshirirkisha Mungu yawezekana alikusaidia schol fees jangwani sec mpaka formsix ukaona huyu ndie wa bwana kumwacha ntamwachaje hata akiwa na vimeo vyake na mengineyo ...yote hayo naomba ufute uanze upya na maisha yako simama na MUNGU akulinde akupiganie...usikubali kuanza kushindana kwa kuonyeshana nani mwamaba..wapo wanaokufa kabla ya mafanikio yao..lakini usikubali uujinga wa kushindana hata kidogo mtakufa na kumalizana
Nawatakia kila la kheri na fanaka na Ndoa mpya
mahakamani baada ya Muda mrefu wa vikao vya kusuluhishana kwa wazazi
Polen sana sana na Mungu atawalinda na kuwabariki ila lipo jambo jema Mungu huwa anatoa pale unapomwomba...yawezekana ulipenda kwa kutumia macho yako bila kumshirirkisha Mungu yawezekana alikusaidia schol fees jangwani sec mpaka formsix ukaona huyu ndie wa bwana kumwacha ntamwachaje hata akiwa na vimeo vyake na mengineyo ...yote hayo naomba ufute uanze upya na maisha yako simama na MUNGU akulinde akupiganie...usikubali kuanza kushindana kwa kuonyeshana nani mwamaba..wapo wanaokufa kabla ya mafanikio yao..lakini usikubali uujinga wa kushindana hata kidogo mtakufa na kumalizana
Nawatakia kila la kheri na fanaka na Ndoa mpya