jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Aaah wapi sijawahi kua mama mie..waota kweli
Aisee kweli unabisha da
Wewe si ndo tulikuwa yule tulikuwa tunitenga wawili unaninawisha halafu tunalala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah wapi sijawahi kua mama mie..waota kweli
Hahaah kulala tena!!!!?Aisee kweli unabisha da
Wewe si ndo tulikuwa yule tulikuwa tunitenga wawili unaninawisha halafu tunalala
Nisamehe kwa kutoa siri yetuHahaah kulala tena!!!!?
Umetisha
Hatuna siri Mimi na weweNisamehe kwa kutoa siri yetu
Hahahhaha..jamani si mlikua kama vikobo loh!Hahahah...wakati nkicheza kama mtoto nlikuwa najiuliza saana....eti yul e anaecheza baba au mama anawaambia mwende kununua mboga dukani mbaaali alaf mchelewe kurudi...
Sasa kuna mwehu mmoja kwenye kujipikilisha si akachkua yale maua mgomba akachanganya kwenye kikopo...basi tulivimba midomo na ulimi wooote kama mondi yani[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Na zile karata za mabox zinachorwa matunda...mnakua wanne wawl kwa wawl...ukikaribia kufunga wampa ishara mwenzako..hahNakumbuka kucheza karata albastini, one last card na makwenzi.
Sasa raha ya kula mbakishie baba ule mchanga ukibaki kidooogo kijiti kinakaribia kuanguka, watu wanakuwa wanategea kula basi inaanza zamu ya kupiga tonge moja moja mnaenda kwa zamu sasa hapo mtu anadokoa wengine wako standby kumkimbiza au kumuwahi kwenye nguzo!Hahahahahaa na ukikimbia unaitwa mtoto wa mama.
Albastini iyoNa zile karata za mabox zinachorwa matunda...mnakua wanne wawl kwa wawl...ukikaribia kufunga wampa ishara mwenzako..hah
Sasa raha ya kula mbakishie baba ule mchanga ukibaki kidooogo kijiti kinakaribia kuanguka, watu wanakuwa wanategea kula basi inaanza zamu ya kupiga tonge moja moja mnaenda kwa zamu sasa hapo mtu anadokoa wengine wako standby kumkimbiza au kumuwahi kwenye nguzo!
Ila mimi nilikuwa nawaweza kwenye kombolela, wakienda kujificha na mimi naenda zangu kujificha home!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahah...wakati nkicheza kama mtoto nlikuwa najiuliza saana....eti yul e anaecheza baba au mama anawaambia mwende kununua mboga dukani mbaaali alaf mchelewe kurudi...
Sasa kuna mwehu mmoja kwenye kujipikilisha si akachkua yale maua mgomba akachanganya kwenye kikopo...basi tulivimba midomo na ulimi wooote kama mondi yani[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Haha..Michezo ya zamani ilikua Raha sana..kula mbakishie baba..kombolela..kuna ile mtu anazinga anaweka mkono kwenye mti.. Ukipenya kwenye tobo umemuokoa
Wadada tulikua na Rede ya mstari kati basis sikumoja nilipigwa ndei La kifua narudi home nalia..Mama nae akanitimua rudi ukouko..dah
Hazikua albastiniAlbastini iyo
Ulikua mayaimayai[emoji23] Kula mbakishie baba huo mchezo sitausahau enzi hizo nipo boma ng'ombe, mtaani ndiyo tunahamia na Sanya juu nilipotoka ilikuwa ni kutocheza sana michezo hiyo. Mzee anabana.
Mungu wangu si nikakuta watu wanacheza kwenye uwanja, kushika ni bomba lipo kando ya uwanja. Sijui kama kuna mchezo huo, ndiyo kwanza naona na sina habari kuna mabanzi. Mtoto wa kufugwa mimi nikaangusha kijiti, nilichezea mabanzi hadi nikaangua kilio.
[emoji2] mtifu uliyofuatia hapo vilio vilifuata kwao waliyonipiga, bro wangu hakuwa mbali alivamia alitembeza kibano kwa wote waliyonipiga.
Malezi tu yalinifanya vile ila nilikuja kuwa mjanja aliyekubuhuUlikua mayaimayai