Wangapi tuliwahi kucheza mchezo hatari wa 'kula mbakishie baba' utotoni?

Wangapi tuliwahi kucheza mchezo hatari wa 'kula mbakishie baba' utotoni?

Vitoto vya siku hizi vipo biz na tamthilia..vikiona watu wanakiss vinajiminya vibarazani vinafanya kweli
 
Hahahahahahahahhahhaaa I can see the way you were.....

Those were the days.

Hivi muhimbili shuleni walikuwa wanacheza komborela? Au ilikuwa mpira wa miguu tuu pale uwanjani?

Ila yale yalikuwa maajabu.... Yaani madarasa tofauti tofauti kila darasa na mpira wake wote wanacheza kwenye uwanja mmoja na hawachanganyani hata....
Ha ha ha ile iko Muhimbili primary tu dunia nzima. Mpira wenyewe kitenesi! Golini kuna makipa kibao na hawazuii mpira usio wao. Sijui nani alianzisha ile kitu. Ukisikia usawa bin ujamaa kmia rasilimali ndio vile sasa.
 
Ha ha ha ile iko Muhimbili primary tu dunia nzima. Mpira wenyewe kitenesi! Golini kuna makipa kibao na hawazuii mpira usio wao. Sijui nani alianzisha ile kitu. Ukisikia usawa bin ujamaa kmia rasilimali ndio vile sasa.

Hahahaahahahahahahahahaa nikiandika hapa nikichokiwaza na kikichonijia kichwani....

Ngoja tuu nikiandike, nimewaza kwa wakati huu jinsi mlivokuwa mnacheza muende saa hizi mcheze vilevile sijui mtaweza.... Hahahahahahaahahahha
 
Hahahaahahahahahahahahaa nikiandika hapa nikichokiwaza na kikichonijia kichwani....

Ngoja tuu nikiandike, nimewaza kwa wakati huu jinsi mlivokuwa mnacheza muende saa hizi mcheze vilevile sijui mtaweza.... Hahahahahahaahahahha
Labda mdako
 
Hahahhahaa kula mbakishie baba nakumbuka vyema kuna siku nilicheza kijiti kikaangukia kwangu

Dadeki nilitoka mbio Balaaaaa sasa kwa ku panic nikaenda direction ambayo sio kwenye mti. Watu wakakikimbilia kwenye mti wa kawa wananisubiria sitakaa sahau nilivyohangaika kupata ule mti

Nilichezea mabao balaa lakini nilifanikiwa kushika mti.

Nakumbuka siku nyingine watu walikua wengi nikaenda home moja kwa moja
 
Hahahaahah hii nimeielewa mkuu yaan sisi tulikuwa tunatumia hata maharage mabichi yenye rangi tofaut tofaut
 
Ha ha ha ile iko Muhimbili primary tu dunia nzima. Mpira wenyewe kitenesi! Golini kuna makipa kibao na hawazuii mpira usio wao. Sijui nani alianzisha ile kitu. Ukisikia usawa bin ujamaa kmia rasilimali ndio vile sasa.
Nimecheka sanaa iasee, najaribu kuvuta picha jinsi huo mpira ulivyokuwa unachezwa nashindwa kuelewa kabisa. Kweli ya kale dhahabu.
 
Back
Top Bottom