Wangapi tunahitaji kufahamu ukweli juu ya huyu binti?

Wangapi tunahitaji kufahamu ukweli juu ya huyu binti?

GREAT MINDS discuss ideas
AVERAGE MINDS discuss events AND SMALL MINDS discuss people the last group will never move from where they are will remain stagnant and if they move it will be backward.
A stupid Idealist...

Nothing is being discussed here.. but information sought.

Na haikuwa lazima uje.
 
Immaturity in everything
Trend is house of sand don't follow trend because trend is not you.
But it's Ok when you trend! Tena anonymously.
Afu kijana wa kiume how come unakuwa na wivu na binti .
Alafu Wala haoneshi ma K K ambayo mmeyazoe. Je tukonkludi kwamba mnapenda ujinga ujinga..
 
Hivi mtandao X ndio unamfanya mtu kutrend? Sijaona akiongelewa sehemu nyingine zaidi ya huko na hapa ndio wewe mleta mada umemuanzishia thread, sasa huoni kwamba wewe ndio sehemu ya kuujulisha umma kuwa kuna huyo binti watu waanze kumchimbua?
 
Lakini anaonekana anajua Kiswahili.!?
Screenshot_20240901_104307_X.jpg

Bint ni m Tanzania
 
Back
Top Bottom