Wangapi tunahitaji kufahamu ukweli juu ya huyu binti?

Wangapi tunahitaji kufahamu ukweli juu ya huyu binti?

Kuweka taarifa sawa ni Raia wa burknafaso(sijui inaandikwa hivyo)
Anaongea kifaransa na kiingereza
Ni mkulima
Ni aina ya mabinti ambao wamegeukia kilimo ukienda kule SA wako wengi sana hata hapa kwetu naona wameanza hasa mikoani ila soko linazingua
Ni mtanzania mchaga,anaitwa reyna ngomuo,yuko mbalizi huko,angalia hivyo vibastola vyake vya kichaga,na kuna video anaongea kiswahili
 
Kuweka taarifa sawa ni Raia wa burknafaso(sijui inaandikwa hivyo)
Anaongea kifaransa na kiingereza
Ni mkulima
Ni aina ya mabinti ambao wamegeukia kilimo ukienda kule SA wako wengi sana hata hapa kwetu naona wameanza hasa mikoani ila soko linazingua
Mnhh!🤔😳😇
 
Huyo ni mTZ I once saw him in KAHAMA ni shabiki wa Simba Sc kindakindaki na anaongea kiswahili fresh kbs ,sema Kuna Parody la South Africa linamtumia sana.
 
Ni mTanzania hyu me nlimuona KAHAMA ila sikujua km ndio kwao ama yupo mishemishe.
 

Attachments

  • 20240821_163833.jpg
    20240821_163833.jpg
    164.3 KB · Views: 6
Yuko nchi gani!?
Uraia wake!?
Anafanya Nini!?
Anaongea lugha gani?
Ni kweli Ni mkulima?
View attachment 3087363
Karibuni.
JF hakipoi kitu. Najua Kuna watu Wana taarifa sahihi.
Changamoto tulionayo kwa sasa nchi hii hata wanaume wameshakuwa wambea ,tofauti na zamani mwanaume ni mwanaume kwelii ,wanaume wa dar mnatuzalilisha sana wanaume wa nchii hasa sisi wa mkoani ,mbona wako wanawake wengi tuu wana shughuli za maana na wala hawana shobo huyu anaonyehs anachofanya anakuja boya moja anampa attention,


Fanya kazi zako acha umbeya ,unashida mtafutee
 
Changamoto tulionayo kwa sasa nchi hii hata wanaume wameshakuwa wambea ,tofauti na zamani mwanaume ni mwanaume kwelii ,wanaume wa dar mnatuzalilisha sana wanaume wa nchii hasa sisi wa mkoani ,mbona wako wanawake wengi tuu wana shughuli za maana na wala hawana shobo huyu anaonyehs anachofanya anakuja boya moja anampa attention,


Fanya kazi zako acha umbeya ,unashida mtafutee
Wewe ndio umeandika kimbea na chuki ndani yake,kwenye jamii chochote kizuri kinapaswa kujadiliwa ili kuwa inspire wengine wakifanye
 
Back
Top Bottom