moto ya mbongo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 484
- 337
Reyna mnazidi kumpa following na views fanyeni kazi acheni ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mtanzania mchaga,anaitwa reyna ngomuo,yuko mbalizi huko,angalia hivyo vibastola vyake vya kichaga,na kuna video anaongea kiswahiliKuweka taarifa sawa ni Raia wa burknafaso(sijui inaandikwa hivyo)
Anaongea kifaransa na kiingereza
Ni mkulima
Ni aina ya mabinti ambao wamegeukia kilimo ukienda kule SA wako wengi sana hata hapa kwetu naona wameanza hasa mikoani ila soko linazingua
Basi taarifa ni nyingi wengine mchaga wengine mburkinabeNi mtanzania mchaga,anaitwa reyna ngomuo,yuko mbalizi huko,angalia hivyo vibastola vyake vya kichaga,na kuna video anaongea kiswahili
Yah ni mtz nimejiridhishaNi mtanzania mchaga,anaitwa reyna ngomuo,yuko mbalizi huko,angalia hivyo vibastola vyake vya kichaga,na kuna video anaongea kiswahili
Mchaga og,huyo dada ameanza shughuli za kilimo.kitambo sana,kipindi iko mwembamba,hivi karibuni watu ndio wameanza kumjua wakazuka na maparody wanatembelea uwepo wakeBasi taarifa ni nyingi wengine mchaga wengine mburkinabe
Yah ni mchaga ana inspire sanaMchaga og,huyo dada ameanza shughuli za kilimo.kitambo sana,kipindi iko mwembamba,hivi karibuni watu ndio wameanza kumjua wakazuka na maparody wanatembelea uwepo wake
Kwa ajili ya nink hasa cha maana? Kwanini msiuze nyumba zenu mnasubiri mpaka sisi Baba zenu tuumwe mtunyinhe then pesa mkaonge?Huyu Binti watu wanataka kuuza nyumba za baba zao wamfuate.. sijui DM yake ikoje *****
Mnhh!🤔😳😇Kuweka taarifa sawa ni Raia wa burknafaso(sijui inaandikwa hivyo)
Anaongea kifaransa na kiingereza
Ni mkulima
Ni aina ya mabinti ambao wamegeukia kilimo ukienda kule SA wako wengi sana hata hapa kwetu naona wameanza hasa mikoani ila soko linazingua
Zimbabwe wanaongea Kiswahil!?Kwenye fuatilia zangu za hapa na pale nimehisi atakuwa Zimbabwe.
Mbona Sought 😂😂A stupid Idealist...
Nothing is being discussed here.. but information sought.
Na haikuwa lazima uje.
Ni him au ni her?Huyo ni mTZ I once saw him in KAHAMA ni shabiki wa Simba Sc kindakindaki na anaongea kiswahili fresh kbs ,sema Kuna Parody la South Africa linamtumia sana.
Changamoto tulionayo kwa sasa nchi hii hata wanaume wameshakuwa wambea ,tofauti na zamani mwanaume ni mwanaume kwelii ,wanaume wa dar mnatuzalilisha sana wanaume wa nchii hasa sisi wa mkoani ,mbona wako wanawake wengi tuu wana shughuli za maana na wala hawana shobo huyu anaonyehs anachofanya anakuja boya moja anampa attention,Yuko nchi gani!?
Uraia wake!?
Anafanya Nini!?
Anaongea lugha gani?
Ni kweli Ni mkulima?
View attachment 3087363
Karibuni.
JF hakipoi kitu. Najua Kuna watu Wana taarifa sahihi.
Ina inspire wadada wenzake wasichague kazi za kufanya,yeye ni mfano wa kuigwaKwanini tumjadili?
Wewe ndio umeandika kimbea na chuki ndani yake,kwenye jamii chochote kizuri kinapaswa kujadiliwa ili kuwa inspire wengine wakifanyeChangamoto tulionayo kwa sasa nchi hii hata wanaume wameshakuwa wambea ,tofauti na zamani mwanaume ni mwanaume kwelii ,wanaume wa dar mnatuzalilisha sana wanaume wa nchii hasa sisi wa mkoani ,mbona wako wanawake wengi tuu wana shughuli za maana na wala hawana shobo huyu anaonyehs anachofanya anakuja boya moja anampa attention,
Fanya kazi zako acha umbeya ,unashida mtafutee