ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mshana jr ndo member pekee ambaye niliamua siku moja kusoma nyuzi zake zote alizowahi kuanzisha na sikufanikiwa kuzimaliza,ndo mtu ambaye amewahi kunisaidia nje ya hapa jf,ndo mtu ambaye anaathiri maisha ya VIJANA Wengi hapa jf kama Kuna maada yake flani inasema mambo ambayo kijana unapaswa kufanya kabla hujatimiza miaka 30.mshana Ni akili kubwaKwa hiyo ndugu ndege john, hulali kabisa kwa kummiss mzee mshana?
Uncle wetu huyu sielewi kaenda wapi tokea matokeo ya uchaguzi yatuumize wapenda mabadiliko Wengi sijamuona jukwaani.
Nia yangu ni kutaka kujua alipo namsihi sana aachane na watanzania masikini wameamua wenyewe kuendelea na CCM, basi hamna namna Mshana wewe una bahati sana kwa kuwa una uelewa mkubwa.
Endelea kutupa nondo zaidi na zaidi endelea kufanya mambo yako tuko pamoja.
Atakuwa Ubalozi wa Ubelgiji anakunywa Pombe au kaenda kutuloga huko SumbawangaUncle wetu huyu sielewi kaenda wapi tokea matokeo ya uchaguzi yatuumize wapenda mabadiliko Wengi sijamuona jukwaani.
Nia yangu ni kutaka kujua alipo namsihi sana aachane na watanzania masikini wameamua wenyewe kuendelea na CCM, basi hamna namna Mshana wewe una bahati sana kwa kuwa una uelewa mkubwa.
Endelea kutupa nondo zaidi na zaidi endelea kufanya mambo yako tuko pamoja.
Mshana Jr kaji quarantine, muda wake wa kupumzika ukiisha mtamuona tena.Uncle wetu huyu sielewi kaenda wapi tokea matokeo ya uchaguzi yatuumize wapenda mabadiliko Wengi sijamuona jukwaani.
Nia yangu ni kutaka kujua alipo namsihi sana aachane na watanzania masikini wameamua wenyewe kuendelea na CCM, basi hamna namna Mshana wewe una bahati sana kwa kuwa una uelewa mkubwa.
Endelea kutupa nondo zaidi na zaidi endelea kufanya mambo yako tuko pamoja.
Ukumbuke wengi internet iliwafungia nje, nikiwemo na mimiUncle wetu huyu sielewi kaenda wapi tokea matokeo ya uchaguzi yatuumize wapenda mabadiliko Wengi sijamuona jukwaani.
Nia yangu ni kutaka kujua alipo namsihi sana aachane na watanzania masikini wameamua wenyewe kuendelea na CCM, basi hamna namna Mshana wewe una bahati sana kwa kuwa una uelewa mkubwa.
Endelea kutupa nondo zaidi na zaidi endelea kufanya mambo yako tuko pamoja.
Uncle wetu huyu sielewi kaenda wapi tokea matokeo ya uchaguzi yatuumize wapenda mabadiliko Wengi sijamuona jukwaani.
Nia yangu ni kutaka kujua alipo namsihi sana aachane na watanzania masikini wameamua wenyewe kuendelea na CCM, basi hamna namna Mshana wewe una bahati sana kwa kuwa una uelewa mkubwa.
Endelea kutupa nondo zaidi na zaidi endelea kufanya mambo yako tuko pamoja.