ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
- #41
Sitasahau ulivyozushiwa kifo pindi flaniWatu hupotea JF kwa sababu zao binafsi na hurejea kwa sababu zao binafsi...
Atarudi tu, he wants to...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitasahau ulivyozushiwa kifo pindi flaniWatu hupotea JF kwa sababu zao binafsi na hurejea kwa sababu zao binafsi...
Atarudi tu, he wants to...
Kaenda kuyatupa matunguli yakeUncle wetu huyu sielewi kaenda wapi tokea matokeo ya Uchaguzi yatuumize wapenda mabadiliko wengi sijamuona jukwaani.
Nia yangu ni kutaka kujua alipo namsihi sana aachane na watanzania masikini wameamua wenyewe kuendelea na CCM, basi hamna namna Mshana wewe una bahati sana kwa kuwa una uelewa mkubwa.
Endelea kutupa nondo zaidi na zaidi endelea kufanya mambo yako tuko pamoja.
Na masai dada pia siku kadhaa kabla mpka leo simuoni
Jaduong mbona Segese mtandao ulikuwa unapatikana vizuri tu?, labda walifunga sehemu za watu wenye kuhatarisha usalama wa nchi.Ukumbuke wengi internet iliwafungia nje, nikiwemo na mimi
Yeah, something like that bro!Sitasahau ulivyozushiwa kifo pindi flani
Haaaaa Haaaaa 😂 nisaidie kushangaaMshana ni akili kubwa?
Haaaaa Haaaaa 😂Mi nimemisi ulofa wake
Labda Mshana Jr ameibiwa smartphone/computer yakeDah...Prof Mshana jr aliahidiwa uwaziri wa utamaduni na TL...akanunua suti 15 kwa mkopo... sasa hivi amedata[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
Aisee mtafute umpe pole maana maumivu aliyo nayo sio ya nchi hii. Hadi Sasa hajapoa.Huu upepo wa uchaguzi umepita na wengi, kuna jamaa zangu hata Kabla ya kampeni kuisha hawaonekani humu.
Wangari Maathai Where are you boss?
Let's meet at the top, cheers [emoji482]