Wangapi wameshammiss Mshana Jr?

Wangapi wameshammiss Mshana Jr?

Uncle wetu huyu sielewi kaenda wapi tokea matokeo ya Uchaguzi yatuumize wapenda mabadiliko wengi sijamuona jukwaani.

Nia yangu ni kutaka kujua alipo namsihi sana aachane na watanzania masikini wameamua wenyewe kuendelea na CCM, basi hamna namna Mshana wewe una bahati sana kwa kuwa una uelewa mkubwa.

Endelea kutupa nondo zaidi na zaidi endelea kufanya mambo yako tuko pamoja.
Kaenda kuyatupa matunguli yake
 
Sitasahau ulivyozushiwa kifo pindi flani
Yeah, something like that bro!

Na bahati mbaya hata hizo habari sikuzisoma, nilikuja ona tu watu wakishangaa kuniona tena hapa...
 
Haaa
Screenshot_20201111-130720.png

Huyu mtafuta Kiki mbona yupo humu tu, amekaa kimya makusudi ili watu wamtafute pamoja na kutafuta umaarufu. Ndo zake huyu
 
Dah...Prof Mshana jr aliahidiwa uwaziri wa utamaduni na TL...akanunua suti 15 kwa mkopo... sasa hivi amedata[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
 
Mzee mshan kapotea San baad y uchaguz ila msihof yup msitun anatafut miziz grade 1 na akilud mtajua t, maan hatujaokot mizog kipind ch coron ila akikud huy mkuu tutaokot san mizog ya waliohujum uchaguz
 
Nahisi Mshana atakuwa kapata tenda ya kuwapigia manyanga wale wabunge wanaoutaka uwaziri so kazi inaendelea huko nadhani baada ua baraza kutangazwa basi atarudi hapa.
 
Back
Top Bottom