Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
😂😂Mshana atakua porini akisaka mizizi mikali..siku akirudi mtaona anavyogonga watu vipapai...mmoja baada ya mwingine..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Mshana atakua porini akisaka mizizi mikali..siku akirudi mtaona anavyogonga watu vipapai...mmoja baada ya mwingine..
Wapare nao wana hivyo VIKAO kama wachaga?!!!😂Mwisho wa mwaka huu vikao ni vingi sana.
Atakuwa Ubalozi wa Ubelgiji anakunywa Pombe au kaenda kutuloga huko Sumbawanga
Yupo Gambosh wanasemina ya wiki 2 na vigagu wenzie.
😂Ngoja nifuatilie ubalozi wa Ujerumani.
Hapa nazungumzia Vikao vya watu wazito pale gamboshi shinyanga...Wapare nao wana hivyo VIKAO kama wachaga?!!!😂
Mi nimemisi ulofa wakeUncle wetu huyu sielewi kaenda wapi tokea matokeo ya uchaguzi yatuumize wapenda mabadiliko wengi sijamuona jukwaani.
Nia yangu ni kutaka kujua alipo namsihi sana aachane na watanzania masikini wameamua wenyewe kuendelea na CCM, basi hamna namna Mshana wewe una bahati sana kwa kuwa una uelewa mkubwa.
Endelea kutupa nondo zaidi na zaidi endelea kufanya mambo yako tuko pamoja.
Na mie nammiss sana jamaniHuu upepo wa uchaguzi umepita na wengi, kuna jamaa zangu hata Kabla ya kampeni kuisha hawaonekani humu.
Wangari Maathai Where are you boss?
Let's meet at the top, cheers [emoji482]
Hapa nazungumzia Vikao vya watu wazito pale gamboshi shinyanga...
Bunge la 12 linaenda sambamba na bunge la 'vipogo' na 'walozi hasa kipindi cha mwisho wa mwaka.
Aah kwakweli, Nakumbuka last time alikuwa mbugani serengeti i think, toka hapo amekuwa kimya sanaaa...siku ukimuona amerudi anazagaa zagaa humu ebu unishtue.😅
Nahisi Mshana aliamini sana ushindi na kutangazwa kwa upinzani kuishika dola, kama ni hivyo basi hakika huko aliko anaumia sana. Tusiwekeze sana kwenye siasa, hasa kama hatuna maslahi ya moja kwa moja huko. Wanasiasa ni watu wabaya sana, wabaya mno, baadhi wapo tayari wewe UKUFE ili waingie mjengoni, pesa haijawahi kuwa na adabu.
Mshana Jr na Wangari Maathai ni notable absentees, huko walipo tunawaombea, na kama yupo aliyejiingiza/aliyeingizwa katika mikono ya hawa wanasiasa wauaji tuombe sana wasidhuriwe.
VPNUncle wetu huyu sielewi kaenda wapi tokea matokeo ya Uchaguzi yatuumize wapenda mabadiliko wengi sijamuona jukwaani.
Nia yangu ni kutaka kujua alipo namsihi sana aachane na watanzania masikini wameamua wenyewe kuendelea na CCM, basi hamna namna Mshana wewe una bahati sana kwa kuwa una uelewa mkubwa.
Endelea kutupa nondo zaidi na zaidi endelea kufanya mambo yako tuko pamoja.
The world ain't fair asee!Kwa Mshana Jr najua ni swala la muda tu, maumivu ya hila za uchaguzi yakiisha atarudi humu jamvini. Ila Wangari Maathai alianza kuadimika muda kidogo hata kabla ya kampeni kuisha, idk what happened to her [emoji36]
Let's meet at the top, cheers [emoji482]
Sijui kama atawasahau ma mod hahaaaMshana atakua porini akisaka mizizi mikali..siku akirudi mtaona anavyogonga watu vipapai...mmoja baada ya mwingine..
Na masai dada pia siku kadhaa kabla mpka leo simuoniHuu upepo wa uchaguzi umepita na wengi, kuna jamaa zangu hata Kabla ya kampeni kuisha hawaonekani humu.
Wangari Maathai Where are you boss?
Let's meet at the top, cheers [emoji482]