hamna kitu mke mmoja mume mmoja watu wanazuga tu! labda iwe hivi, mke au mume mmoja wa ndoa na wake wasio na idadi nje ya ndoa kwa upande wa wanaume! kwa wanawake most of them wanakuwa decent sana unless wakiwa frustrated na waume zao au awe mfanya biashara ya kuuza ile kifaa ya ndoa! otherwise mwanaume akiwa hivyo heri kila mmoja achukue 50 zake akaanze life upya. au tuishi tu lakini no uhusiano wa ki-ndoa
Kweli umethibitisha furaha yako kama hapa chini ulivoonyesha (Nimeikopi usije kuidiliti bana)yaani babu nimefurahi sana kusikia haya kutoka kwako..
lakini siunajua tena hawatu wa huku mashariki ya mbali mila zao na desturi zao ni tofauti sana na zetu...
ha mie nakuunga mkiono asilima ya mia kwa ulicho kisema AMEN
lakini kumbuka ni wote watakuwa wanfanya hivyo si mwanamke tu...
hahahaahahahah lol hapo nakuunga mikono na miguu hahah lolKweli umethibitisha furaha yako kama hapa chini ulivoonyesha (Nimeikopi usije kuidiliti bana)
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:
afrodenzi (Today)
Kwa mantiki hii kwakuwa mimi na wewe tumeshafurahishana...twenzetu kwenye open rileshenshipu sasa.
unamaanisha samaki
hahahaahahahah lol hapo nakuunga mikono na miguu hahah lol
nway mie nakimbia sasa lakii ntarudi baadaye tke care mmwwaaahhhh
crap
watu wawili wanapendana sana .. nani wanandoa kwa muda wa miaka 6..
mama kagundua baba anatoka nje ya ndoa....
alichofanya alimshauri mmeo wawe na open Relationship....
Je jamani nataka kujua ni wangapi wangekubaliana na hili???
samahani kuhusu dini wao ni wale watu wanaojiita Free Spirit
watu wawili wanapendana sana .. nani wanandoa kwa muda wa miaka 6..
mama kagundua baba anatoka nje ya ndoa....
alichofanya alimshauri mmeo wawe na open Relationship....
Je jamani nataka kujua ni wangapi wangekubaliana na hili???
samahani kuhusu dini wao ni wale watu wanaojiita Free Spirit
babu mbona sikumbuki kama nina kesi ya kujibu
haya babu naoa sasa umerudi kwa nguvu zote (asante ugoro) lol
ni kama vile hivi baba anawezatoaka anaenda mahali bila kuomba ruhusa....
na mama naye afanya vivo hivyo..
watakuwa wanalala na watu wengine nje ya ndoa yao
kwa hiyo hata ukifumaniwa hakunashida
lakini hakuna ugomvi wala kuomba msamaha....
na huwaga makubaliano kama wana watoto hawaleti watu hapo nyumbani..
na nyie mtakuwa bado mnakutana kimwili kama bado mnataka..
yaani kwa kifupi ni kwamba mmekubaliana kutenda tendo la ndoa na watu wengine...
lakini kila kitu ndani ya ndoa yenu iko kama kawaida except sex....sababu hiyo ni optional kama uko kwenye open relationship
hopeful umenielewa kidogo lol
AD
Binafsi siafikiani na hilo. Lakini pia wenza wa aina hiyo nawaheshimu sana. Maana wako wa kweli kwa wao wenyewe pamoja na dhamiri na nafsi zao. Hawana unafiki!!
Kuna maana gani kuwa kwenye uhusiano na mtu halafu unatoka nje kimapenzi kwa kujificha halafu unarudi nyumbani na kujifanya unampenda mwenzio? Kama unampenda mwenzio basi usivae sura ya kinafiki. Mwambie tu ukweli naye aamue aidha kusuka ama kunyoa.
Wenza walio kwenye mahusiano huria mimi nawaona ndio wenye mapenzi ya kweli kwa sababu msingi wa mapenzi ya kweli ni ukweli!!
subiri tu babu akishakaa sawa atakupa charges!
Hizo ndo naita bangi tena za hovyo kabisa..tangu lini mazingira kama hayo yakaitwa ndoa? Sex hakuna au kwa mafungu kama nyanya halafu mnadai kuna ndoa hapo!!
Ngoja nikapumzike nisije jifia babu wa watu, khaaaaaaaaaaaaaaa!!
mkuu hapa nadhani watu wanaongelea ndoa (marriage) na ngono (sex) na si mapenzi.. Mapenzi (love) ni concept nyingine kabisa. Ni ndoa chache duniani ambazo zimefanikiwa kupata score za juu kwenye hayo yote matatu. Tulio wengi tunahangaika na yale mawili ya kwanza!
babu nimeishakwambia spidi ya dotcom hauwezi kwenda nayo sambamba
kama mwanamke ana mtindio wa ubongo labda, pia hujasema ni mtu wa dini gani, kwasababu pamoja na kwamba katika dini yangu mimi kuwa na wake wawili ni upungufu wa akili, kwa wengine kuwa na wake wanne ni bora zaidi.....so, sijui nisemeje?
watu wawili wanapendana sana .. nani wanandoa kwa muda wa miaka 6..
mama kagundua baba anatoka nje ya ndoa....
alichofanya alimshauri mmeo wawe na open Relationship....
Je jamani nataka kujua ni wangapi wangekubaliana na hili???
unacheza wewe... mke khabari ingine bana...
HUTE hiyo ni kwako wenzio tunajimegea vile vile usikute hata wewe unamegewa pia, sasa bora usiwe unatoa mifano mingi kwani hata mye nina mke mmoja lakini nyumba ndogo pia nimezaa we unadhani kwa wingi wa wanawake wote hawa tusipositiriana hali itakuwaje.
usiwe mchoyo wa kusaidia jamii yako kama hali inakuruhusu vuta na wewe ujipatie raha za dunia mkuu.