Wangapi wanakubaliana na hili?


haya mkuu
kila opinion hapa ni muhimu asante sana
 
Kweli umethibitisha furaha yako kama hapa chini ulivoonyesha (Nimeikopi usije kuidiliti bana)



The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:

afrodenzi (Today)



Kwa mantiki hii kwakuwa mimi na wewe tumeshafurahishana...twenzetu kwenye open rileshenshipu sasa.
 
hahahaahahahah lol hapo nakuunga mikono na miguu hahah lol
nway mie nakimbia sasa lakii ntarudi baadaye tke care mmwwaaahhhh
 
mimi sikubarini kwa sababu si imani yangu kwa imani yangu no way ntakugecha murah
 
hahahaahahahah lol hapo nakuunga mikono na miguu hahah lol
nway mie nakimbia sasa lakii ntarudi baadaye tke care mmwwaaahhhh

Nimeifaili hiyo tu basi kwa ajili ya future use.
 

AD katika nchi za wenzetu kuna couples wanaitwa Swingers. Wao wanaswap wives/husbands tu na wanakubaliana lakini maisha yanasonga kama kawaida.

Hata hivyo kwa jadi za kiafrika huku kwetu ni ndoto.
 

kama wanandoa wananyimana unyumba bora open relationship mana vinginevyo watapiga nje. Hamna cha imani wala nini, hao imani kali ndiyo wa kwanza kuwa na mipango ya nje.
Au kuachana ndiyo suluhisho.
 
Binafsi siafikiani na hilo. Lakini pia wenza wa aina hiyo nawaheshimu sana. Maana wako wa kweli kwa wao wenyewe pamoja na dhamiri na nafsi zao. Hawana unafiki!!

Kuna maana gani kuwa kwenye uhusiano na mtu halafu unatoka nje kimapenzi kwa kujificha halafu unarudi nyumbani na kujifanya unampenda mwenzio? Kama unampenda mwenzio basi usivae sura ya kinafiki. Mwambie tu ukweli naye aamue aidha kusuka ama kunyoa.

Wenza walio kwenye mahusiano huria mimi nawaona ndio wenye mapenzi ya kweli kwa sababu msingi wa mapenzi ya kweli ni ukweli!!
 
babu mbona sikumbuki kama nina kesi ya kujibu

Subiri tu babu akishakaa sawa atakupa charges!


Hizo ndo naita bangi tena za hovyo kabisa..Tangu lini mazingira kama hayo yakaitwa ndoa? Sex hakuna au kwa mafungu kama nyanya halafu mnadai kuna ndoa hapo!!

Ngoja nikapumzike nisije jifia babu wa watu, khaaaaaaaaaaaaaaa!!
 

Mkuu hapa nadhani watu wanaongelea ndoa (marriage) na ngono (sex) na si mapenzi.. Mapenzi (love) ni concept nyingine kabisa. Ni ndoa chache duniani ambazo zimefanikiwa kupata score za juu kwenye hayo yote matatu. Tulio wengi tunahangaika na yale mawili ya kwanza!
 

babu nimeishakwambia spidi ya dotcom hauwezi kwenda nayo sambamba
 

halafu tatizo naye asprin anajifanya ni dotcom eti babu teenager
 
babu nimeishakwambia spidi ya dotcom hauwezi kwenda nayo sambamba

Ulishaona wapi maji yakichemka yanabaki huko huko kwenye nyuzi 100? Mtarudi tu na kutukuta hapa hapa tukiendelea na mambo yetu ya 1947...slow but sure and safe!
 
kama mwanamke ana mtindio wa ubongo labda, pia hujasema ni mtu wa dini gani, kwasababu pamoja na kwamba katika dini yangu mimi kuwa na wake wawili ni upungufu wa akili, kwa wengine kuwa na wake wanne ni bora zaidi.....so, sijui nisemeje?


HUTE hiyo ni kwako wenzio tunajimegea vile vile usikute hata wewe unamegewa pia, sasa bora usiwe unatoa mifano mingi kwani hata mye nina mke mmoja lakini nyumba ndogo pia nimezaa we unadhani kwa wingi wa wanawake wote hawa tusipositiriana hali itakuwaje.
usiwe mchoyo wa kusaidia jamii yako kama hali inakuruhusu vuta na wewe ujipatie raha za dunia mkuu.
 
 


With a light touch,
Sasa unajitofautishaje wewe kama Homo habilis kutoka kwa Homo sapiens?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…