passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Wakuu Heshima mbele!
Jana nilipokuwa natazama vikao vya bunge vinavyoendelea Dodoma.
Mbunge msambantavangu alikuwa akizungumza kuhusu ukatili wa kijinsia, anasema imekuwa ni kawaida kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia kwa watoto wakike na wamama, lakini Kwanini si kwa watoto wakiume? Kwani watoto wakiume hawafanyiwi ukatili wa kijinsia?
Kwanini bajeti ni kwa ajili ya kumuwezesha mtoto wakike tu na si wakiume pia kama ni usawa wa kijinsia?
Msikilize hapa chini👇
View: https://www.youtube.com/watch?v=xtinj83xrDo
Wangapi wanamuunga mkono Mbunge msambatavangu?
Jana nilipokuwa natazama vikao vya bunge vinavyoendelea Dodoma.
Mbunge msambantavangu alikuwa akizungumza kuhusu ukatili wa kijinsia, anasema imekuwa ni kawaida kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia kwa watoto wakike na wamama, lakini Kwanini si kwa watoto wakiume? Kwani watoto wakiume hawafanyiwi ukatili wa kijinsia?
Kwanini bajeti ni kwa ajili ya kumuwezesha mtoto wakike tu na si wakiume pia kama ni usawa wa kijinsia?
Msikilize hapa chini👇
View: https://www.youtube.com/watch?v=xtinj83xrDo
Wangapi wanamuunga mkono Mbunge msambatavangu?