Baada ya kutangaza kujitoa endapo leo jioni Ccm watapitisha kura ya wazi, tunatarajia wabunge wenzake wa upinzani kumuunga mkono. Swali ni je CUF, NCCR na wabunge wakuteuliwa hasa wake 201 watafuata? wataziacha zile laki 3 kwa siku?
Yeye msimamo wake uko wazi kwamba ukishaona kura ya wazi imepita hakuna tena katiba ya wananachi bali katiba ya CCM. Tunatarajia wabunge wengi ukiondoa akina Kingunge na Makonda watamuunga mkono.
Yeye msimamo wake uko wazi kwamba ukishaona kura ya wazi imepita hakuna tena katiba ya wananachi bali katiba ya CCM. Tunatarajia wabunge wengi ukiondoa akina Kingunge na Makonda watamuunga mkono.