maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Hapana mkuu wasukuma watoe hapo, katika makabila ambayo naona yanaongoza kwa majina mazuri ya asili nchini ni wasukuma, hawa wenye majina mabaya ni wachache sana, yani wasukuma hata majina ya maeneo yao tu ni mazuri, mfano majina ya maeneo ya usukumani niliyoyapenda ni Rwamgasa, Lwenzera, Runzewe, Ushirombo, Lulegeya, Izumacheli, nkBora hao wasukuma nao ni shida.
Utakuta mtu anaitwa maharage
MashimbaHapana mkuu wasukuma watoe hapo, katika makabila ambayo naona yanaongoza kwa majina mazuri ya asili nchini ni wasukuma, hawa wenye majina mabaya ni wachache sana, yani wasukuma hata majina ya maeneo yao tu ni mazuri, mfano majina ya maeneo ya usukumani niliyoyapenda ni Rwamgasa, Lwenzera, Runzewe, Ushirombo, Lulegeya, Izumacheli, nk
MapundaMatembo
Ngonyani.
Naswala.
Komba.
Simba.
Kuna kapinga mnyakyusa wa ndembela au alikimbia kwaowakina kapinga
MalendejaMashimba
Mapole
Kasubi
Makoro
Mang'ombe
Mayala
Nyanzara
Mayeji
Mpejiwa
Mayila
Masangwa
Mabula
Kabula
Mabiti
Mpelwa
Mpela
Mvanga
Lutambi
Matogoro
Chananja
Mongo
Malongo
Nyanzobe
Ndulu
Nshili
Matunge
Manoni
Sayayi
Manumbu
Lugalata
Hayo ndiyo majina ya wasukuma na mengine mengi
Majina ya kwao ndo yepi?Habari manguli wa historia,
Tunaambiwa wangoni ni moja ya makabila ya mwisho kufika Tanganyika.
Walitokea Afrika kusini miaka chini ya 200 iliyopita kwa kukimbia vita na makaburu na makabila wenzao.
Ni lini na kwa nini waliamua kutumia majina ya wanyama kama Komba, Ngonyani etc
Kwa nini walikwepa majina ya kwao?
Asanteni kwa ufafanuzi
Hawa Wahaya.Rwamgasa, Lwenzera, Runzewe
Kapinga ni wamatengoKuna kapinga mnyakyusa wa ndembela au alikimbia kwao
Kila mtu anaona majina ya kwao ndo mazuriHapana mkuu wasukuma watoe hapo, katika makabila ambayo naona yanaongoza kwa majina mazuri ya asili nchini ni wasukuma, hawa wenye majina mabaya ni wachache sana, yani wasukuma hata majina ya maeneo yao tu ni mazuri, mfano majina ya maeneo ya usukumani niliyoyapenda ni Rwamgasa, Lwenzera, Runzewe, Ushirombo, Lulegeya, Izumacheli, nk
Ndio, najua majina ya kihaya asilimia kubwa huwa yako Hivyo mkuu, ila hayo ni majina ya maeneo huko Geita kwa wasukumaHawa Wahaya.
Majina waliyotoka nayo Afrika kusini. Siamini kama majina yanayotumika leo kama Komba ni majina ya afrika kusiniMajina ya kwao ndo yepi?
Mimi siyo mtu wa kanda ya ziwa, ukisema ukisie kabila langu kwa kuangalia namna ninavyosifia makabila humu basi utajichanganya, maana huwa nasifia makabila mengi katika nyanja tofautitofautiKila mtu anaona majina ya kwao ndo mazuri