maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Habari manguli wa historia,
Tunaambiwa wangoni ni moja ya makabila ya mwisho kufika Tanganyika.
Walitokea Afrika kusini miaka chini ya 200 iliyopita kwa kukimbia vita na makaburu na makabila wenzao.
Ni lini na kwa nini waliamua kutumia majina ya wanyama kama Komba, Ngonyani etc
Kwa nini walikwepa majina ya kwao?
Asanteni kwa ufafanuzi
Tunaambiwa wangoni ni moja ya makabila ya mwisho kufika Tanganyika.
Walitokea Afrika kusini miaka chini ya 200 iliyopita kwa kukimbia vita na makaburu na makabila wenzao.
Ni lini na kwa nini waliamua kutumia majina ya wanyama kama Komba, Ngonyani etc
Kwa nini walikwepa majina ya kwao?
Asanteni kwa ufafanuzi