Wangui na Wambui (murder probe)

Wangui na Wambui (murder probe)

Nakubali hali hii ipo Tanzania na inatokana na imani binafsi za watu wachache ambao kadri siku zinavyoenda tunadhibiti hali hiyo. Lakini Kenya is horror country kwanini nasema hivyo ninyi mnatagert intellectuals see Carolina, Onjiwa, Msando wa tume ya uchaguze mwanatechnologia aliyekuwa potential ya nchi n. k hata nikitaja siwamalizi mna roho mbaya sana wakati wa mauwaji, wakati mwingine mnatesa hao watu kwa kuwachoma mikuki midomoni, au kuwanyonga sasa hii ni nchi ya demokrasia kweli? Sisi walimteka Moo lakini wao wenyewe watekaji wakaona huruma wakamrejesha wangeweza wakamuua lakini wakagundua umuhimu wake ishaalah wakamwachia, lakini Kenya akishatoweka ujue mtaokota maiti. Acheni roho mbaya, Jengeni democrasia ya kukosolewa basi?

Hivi Mtanzania unapata wapi ujasiri wa kutuhumu Kenya ilhali tunasoma mambo ya kiajabu ajabu ambayo hutendeka kwenu, leo hii Tundu Lissu ameogopa kurudi kwenye nchi ya mama na babake, alifukuzwa kwa risasi 38, umeskia kitu kama hicho wapi duaniani, bilionea anatekwa na kurudishwa kwa mazingira yaliyoashiria movie, kutoweka kwa Ben Saanane, miili kuopolewa ikiwa imesindikwa kwenye mifuko yaani orodha ni ndefu ya matukio yenu.
 
Sijui wakikuyu walikufanyia nini na wewe ni mtanzania.
Anyway, did you have to generalize? You want us to believe that every Kikuyu woman is diabolical coz mmoja ametekeleza mauaji? Discard that medieval brain and purchase another one!
Sijasema wote.
Tukisema Watanzania wanaongea Kiswahili kizuri kuliko wakenya haimaanishi wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
images
Hawa kina dada zetu na mama zetu saa zingine huwa siwaelewagi. Nani angeamini kwamba Judy Wangui angemuua mwenzake Mary Wambui na kutupa mwili wake kwenye dimbwi la maji lisaa limoja baada ya kulishana nyama na kujivinjari pamoja? Sio jambo la kawaida kwa mwanaume kuficha hasira na chuki dhidi ya mtu mwingine virahisi hivi. Wakati wa ngumi ni wa ngumi, yakiisha yanaisha kweli.
Yaan alivyo mpea nyama kumbe ndivyo hivyo wana share liboro fc la kori
 
Hapo ni wao kwa wao,Unaambiwa hata huyu mary kabla hajawa promoted kuwa wife nae pia alikuwaga mpango wa kando. Mke wa kwanza ni Grace. Joseph Kori alimuacha Grace for Mary. Malipo ni hapa hapa duniani.
Year you delve deeper .... Dikujua kama marry alikuwa ni kimada awali ...ila inaonekana marry alimpenda sana judy (alikuwa shoga yake) so probably alikuwa aki share nae story za mahusiano yake na kori then quickly judy jump into kori"s empire for the sake of earning cash ila ss unajua liboro fc huwa linawachanganya sana wadada na fikiri alitaka asajiliwe yy moja kwa moja liboro fc
 
Ndio nimeangalia video pale YouTube Leo. Kwa kweli inahuzunisha. Judy ni ibilisi.
Damu ya yuda iscariota imo mishipani.Si kwa usaliti huo!
 
Back
Top Bottom