Wankyo Nyigesa, RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi

Wankyo Nyigesa, RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi

Katiba mbovu ndio maana kitu kidogo kama hiki IGP anakuwa offended, kuhamishwa kwa huyu jamaa ni kwa interest ya IGP sio wananchi au serikali kwa ujumla, viongozi wa Tanzania wanajiona miungu mtu wanaweza kufanya chochote feelings zao zikiumizwa
 
Katiba mbovu ndio maana kitu kidogo kama hiki IGP anakuwa offended, kuhamishwa kwa huyu jamaa ni kwa interest ya IGP sio wananchi au serikali kwa ujumla, viongozi wa Tanzania wanajiona miungu mtu wanaweza kufanya chochote feelings zao zikiumizwa
Katiba inahusikaje hapo mweeee
 
Back
Top Bottom