Wanu Hafidh Ameir achangia Milioni 10 Ujenzi wa Nyumba ya Katibu UWT Wilaya ya Rufiji

Hongera sana kwake.Mwenye mawasiliano yake please naomba,nami nina shida pengine anaweza nisaidia
Nina namba za wabunge wote wa majimbo na viti maalumu walioingia Bungeni baada ya uchaguzi wa 2015 na baada ya uchaguzi wa 2020 yaani walioingia madarakani magufuli akiwa Rais. Walioingia Bungeni baada ya kifo Cha magufuli sina. Kama upo siriasi ni pm nikupe namba . VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA.
 
Wachangie vyumba vya madarasa kwa watoto huko kusini kwetu madarasa kama Jehanamu fulani vile...ingawaje huwezi kumpangia mzala matumizi..
 
Hao ndio wanakula mema ya nchi na sio mpuuzi Lucas mwashambya ambae saivi katega boda yake uyole huku anasikitika jinsi alivyokosa nafasi ya uandikishaji wa daftari la kudumu la mpiga kura
Na baridi ya Mbeya/Songwe saa hizi atakuwa anachoma viazi vitamu kwenye majivu ale apate joto mwilini. Akitoka hapo,uso umepauka kama msukule kwa kurukiwa na majivu ya mafiga.
 

Mshahara wake kwa mwezi ni bei gani[emoji15][emoji15]
Enzi zile hawakuwahi kuchangia hata daftari moja.
 
Asante sn mkuu kwa maelekezo yako na kujali kwako. Suala ni yupi atanisaidia?
 
Hapana, anauza vitenge kariakoo namuonaga pale mtaa wa Congo ana meza yake, hana makuu binti wa watu,na wala watu wengi hawamjui pale,mimi na mke tu ndiyo tunamjua!!
Nyie ni wale wale, huyu ni mbunge viti maalum kutoka Zanzibar lakini kaolewa na Mchengerwa Pwani, upo hapo?
 
Dada ameolea na mbunge WA Jimbo la rufiji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…