Wanyakyusa bwana kila mmoja anajiita mchungaji

Ongelea mkoa wa Mbeya,si wanyakyusa tu,kwanza wanyakyusa katika mkoa wa Mbeya wanapatikana katika wilaya mbili tu Rungwe naKyela,so angalia matukio yanatokea wapi?,mkoa wa Mbeya una makabila zaidi ya saba, mtukome.

Mbona wale wachuna ngozi majina yao yanaazia na Mwa...?
 

Asante sn tena umenikumbusha wasukuma wapo sana ubaruku ngwana wame, hawajamaa wanapatikana nchi nzima. Kuna Wachaga pia wanakuja kwa kasi koa wa Mbeya. Ila % kubwa ya Wanyaki wapo Rungwe na Kyela but angalia matukio hua yanatokea wilaya ipi. So mtoa mada unaonekana huna uelewa wa kutosha kuhusu Mbeya aidha umehadithiwa au unasikia
 
Ongelea mkoa wa Mbeya,si wanyakyusa tu,kwanza wanyakyusa katika mkoa wa Mbeya wanapatikana katika wilaya mbili tu Rungwe naKyela,so angalia matukio yanatokea wapi?,mkoa wa Mbeya una makabila zaidi ya saba, mtukome.
Ila Wanyakyusa kwa unafiki mmezidi aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…