Wanyakyusa punguzeni uchawi kwa wageni tuje kuwekeza mbeya

Status
Not open for further replies.

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
8,199
Reaction score
8,186
Nilifungua ofisi ya bima Mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa (wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya.

Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo.

WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi.
 
hao wanyakyusa ni kiboko kwa ulozi huoni wamemtepetesha ABBAS KANDORO amekuwa kama ZUZU unaweza kuamini huyo ndo alikuwa RC DAR ES SALAAM. Fa Mchezo na VIGAGULA.
 

Hujielewi eeeeeh
 
daah pole ndg. blessings kama ni kweli hao jamaa inabidi wajirekebishe aisee maana mbeya si ya wana mbeya tu jamani. Lakini najiuliza hiv huu uchawi ni kwa wageni watanzania tu mbona hawawalogi WACHINA wanaojenga barabara na gereji bubu? na Wa korea?
 
Teh teh teh teh.....Kwa Mbeya lazima uwe na sura ngumu ukijilegeza wanakupanda kichwani... Pole sana maisha ni mapambano.
 
hao wanyakyusa ni kiboko kwa ulozi huoni wamemtepetesha ABBAS KANDORO amekuwa kama ZUZU unaweza kuamini huyo ndo alikuwa RC DAR ES SALAAM. Fa Mchezo na VIGAGULA.

Kandoro kawa pimbi kweli...yaani penati anasema kona mpira wa kurusha anasema free kiki
 
duuh kumbe wanyakyusa wazee wa kupulizia eeh mi nilikuwa na-date na mnyakyusa ila itabidi nilale jicho moja maana mmeshani-alert kuhusu hizo ishu zao za Uchawi uchawi sasa ndo Napata picha kuna siku kaja kulala kwangu asubuhi kakusanya chupi zangu kama 3 hivi kaweka kwenye pochi anataka kuondoka nazo namuuliza vp mbona unaondoka na chup zangu anadai ooh naenda kuziweka home. Sasa leo ndo nimepata jibu kamili
 
kandoro kwa mbeya amewezwa yaan anataman hata arudishwe dar. yaan wanakyusa hawataki longo longo ukicheza unapigwa BARIDI YABISI
 

Mkuu una hakika ni wanyakyusa? Au wakinga? Au wanyiha? Generalization mbaya sana
 
Inaonesha wewe ni mchawi sana yaano mimi si amimi mtu anejiona msomi kuamini uchawi
 
Mkuu una hakika ni wanyakyusa? Au wakinga? Au wanyiha? Generalization mbaya sana

Kaka huyu jamaa kavurugwa anadhani kila anayemuona ni mnyaki aidha huyu hajajipanga huwezi mtu unayewaza kuwekeza uwe na akili ya kuwaza uchawi
 
UCHAWI umesambaa NYANDA ZA JUU KUSINI kuanzia kwa MIZENGO (Sumbawanga), Kapteni Kuomba (Songea) na maeneo ya Iringa (UKINGANI) na Makao Makuu Mbeya
 
Actually uchawi unauzwa kama bidhaa za dukani maeneo ya Songea na Kyela (pembezon mwa ziwa nyasa) kuna uchawi wa mamba=ukitaka mtu auliwe na mamba unaenda na 1,000 (elfu moja tu) huyo mtu ataokotwa ziwani akiwa ameuliwa na mamba
 
Sema tu biashara ilikushinda hujui ulichokua unafanya ulikurupuka na matokeo yake unasingizia uchawi,nyie ndiyo hata ndugu yako akifa na kipindupindu unasema amelogwa na hayo ndiyo madhara ya kukosa elimu! au kuwa na elimu ya kubabaisha!bahati yako ungekutana na Prof Muhongo angeenda kutafuta matokeo yako ya form four kama hata ulifika hata form four yenyewe kwa ujinga unaoandika humu.
 
hao wanyakyusa ni kiboko kwa ulozi huoni wamemtepetesha ABBAS KANDORO amekuwa kama ZUZU unaweza kuamini huyo ndo alikuwa RC DAR ES SALAAM. Fa Mchezo na VIGAGULA.

Acha umbumbu wako wewe mbona mnajichanganya na maandishi yenu mwenzako amesema wanaotokea Iringa ni wachawi wenzao hawapati shida sasa Kandoro imekuaje yeye kapata madhara wakati yeye wa Iringa? au hujasoma ujinga wa mwenzio umekurupuka kujibu wakati unatofautiana na mzushi mwenzio.Hebu rudia pumba za toa uzi ili uelewe vizuri,amesema nyanda za juu wote wachawi ila ninyi kaskazini ndiyo watakatifu na mmebarikiwa na kushika wachawi.
 
Hao jamaa Wanyakyusa hawalogi mtu wa kwao hata kidogo tabu ipo kwa watoka mbali utapigwa JUJU mpaka ujte kuwekeza mbeya yaani wanataka wawe wao tu kila kitu. Yaani hii mijamaa ya ajabu haswaaaaaaa!!!
 
!
!
Huku noma mkuu,dah!....Juzi kati kulikuwa na mechi fulani yaani uchawi hadharani. Watu wameingia uwanjani kukawa na vumbi vumbi na upepo flani wapinzani wakaona wasitaniwe hata kidogo nao wakashusha kamvua ka uchokozi,dah! hiyo ilikuwa live mchana kweupeee mbele ya umati wa raia.
 
Kandoro kawa pimbi kweli...yaani penati anasema kona mpira wa kurusha anasema free kiki
Du na Mitusi imekuja kutukana huku nayo!KIGOGO Kagame alakomeye? nasikia amekataa JWTZ wasipite Rwanda anaogopa watam M23.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…