Wanyakyusa punguzeni uchawi kwa wageni tuje kuwekeza mbeya

Status
Not open for further replies.

Mkuu unajua mimi nimeunganisha haya makabila mawili....halafu mimi mwenyewe ni muunganiko wa Kilimanjaro na Kagera.....wala ndizi tunatakiwa kuwa tunaelewana arifuu......
 
Mbeya ni ki-mji kidogo sana na watu wa huko hupenda kujisifu pasipo sababu

inaelekea hata shule hujaenda, mbeya ni kimji kdogo? bas muulize hata mtoto wa chekechea akufundshe geograph... acha watu wenye uwezo wajisifu, kujiona mnyonge ndo kunafanya watu mshndwe kujieleza uwezo wenu
 

Wanaume siku hizi tunavaa BOXER,pia uwe unafua hiyo michupi yako uenda alizibeba ili akazifue baada ya kuona ZINANUKA.Uache uchafu jamaa angu.
 
Wachaga acheni ujinga wa kuleta ukabila nyie siyo bora kuliko makabila mengine!
Sasa mmewapa wazungu gesi ya bure kwa tamaa na laana za waswahili.Akili za kuacha fanya kazi na kupambana ,mkimalizia kila kitu kupambana wachaga kila mahali ni laana ya hii nchi.Tunatafuta hela zetu,endeleeni kula sherhe ktk serikali ya kibaguzi na kidini,kikabila,hila dhidi ya kabila moja ya CCM.Hamtokaa muondoke hapo bila wachaga na wakaskazini wengine kenge nyie.Mtakwapua kila kitu ila finally mtaongoza ktk list ya wanaolalama kwa wachaga.Hamna tofauti na mataifa ia kigaidi yanayolalamikia wengine dhiki zao.5 yrs to come tutajipambanua tena wajerumani,baada ya vita za dunia
 

Pumbavu tu huna akili!wala hamna lolote nyie nawajua sana,hata wewe hunizidi chochote kuanzia Elimu hata pesa sidhani kama unanizidi labda matusi na kudhani wewe ni bora kuliko makabila mengine eti kwakuwa ni mchaga,nonsense, I will never argue with you any more this is the last time for me to answer your rubbish.I have come to the conclusion that you are just posting bunches of garbage.
 
Wewe hukua na moyo wa biashara umefulia huko unasingizia uchawi,kwa mtu makini na biashara sbabu kama hiyo haiingii akilini na kufunga biashara,au wemwenyewe ni mchawi wa biashara yako, unaruhusu fikra kama hiyo ikutawale na baadae ukakata tamaaa kabisa, hakuna uchawi kizazi iki cha nne,pambana na adui fikra kwanza ndoo adui ako wewe achana na madhana wameniroga mbeya freshi kabisa wenzio tumethubutu na tuna songa mbele we endelea kuona wachawi wakati wenzako tunapiga hela na
 
nilipofunga ofis ni mbeya mjini tu (Stendi kuu & Mwanjelwa) hapa TUNDUMA tunazid kupambana kichawi WAKIMWAGA UGALI, mi NAMWAGA MBOGA, tunaenda sawa
 

wewe acha uchizi Mbeya mbona wageni wengi sana wamefanikiwa? Uchumi wa Mbeya umeshikwa na Wakinga toka Iringa, Ufugaji wapo wasukuma kule usangu, Kilimo wapo wachaga wengi sana Tukuyu. Wewe unaongelea nini? Hata mbunge wa Mbeya sio Mnyakyusa ni mkinga. Pia nani amekuambia Mbeya ni wanyakyusa tu wapo pale? Mbeya kuna Wanyakyusa, Wasafwa, Wamalila, Wanyamwanga, Wandali, Wabungu, Wanyiha, n.k. Fanya kazi kwa bidii acha visingizio
 
kumbe Mbeya si salama kwa wageni eeh! aise punguzen hiyo mambo aisee
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…