SODIUM CYANIDE
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 691
- 1,166
Ninachofahamu morani huwa wanatoboa masikio lakini hawavai hereni. Ila kama wanavaa hereni very sorry mkuuNa sisi morani je?? Embu waza vizuri kidogo maana hapa umetukana kabila letu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninachofahamu morani huwa wanatoboa masikio lakini hawavai hereni. Ila kama wanavaa hereni very sorry mkuuNa sisi morani je?? Embu waza vizuri kidogo maana hapa umetukana kabila letu
Ni kweli lakini sina pa kuzipataUjuee za sudan ni veriii fantastikiiiii au nadanganyaa
Kweli mana wana hasira hao! Sijui vyuma au FOREX!Naona ndio linalofatia
Yule jirani yangu Sakayo hanaga makuu! Hana tabu na mtu. Yule mtu kweli. Sijui kwa nn haupo kama dadako!
Jaman mbona me nimemzidi sasa alivyo sema unaniangalia tu kwa wasiwasi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni kweli lakini sina pa kuzipata
Mkuu pambana na hali yako tuMbona mnatuchanganyia mambo yenu ya chumbani humu
Hapa ni kuchapwa na kiduku basiii
Una ninii lakini ebu niache jaman[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wameshaanza ni hasira za vyuma kukazaKweli mana wana hasira hao! Sijui vyuma au FOREX!
Nilikuwa sijafahamu kama nahangaika na aunt zilla. Sorry mkuu zozana na machoko wenzioBaba ako mbona anavaa hereni na nimeshamuoa mimi??
Au unasemaje?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Una ninii lakini ebu niache jaman
Mmh siwezi amini tena nini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Alafu huwezi aminii
MWENYEWE kasema tupake grease!Wameshaanza ni hasira za vyuma kukaza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmh siwezi amini tena nini
Uhuru gani usioheshimu misingi ya Mungu Mzee?Huko in kuingilia Uhuru wa watu
Na tunazipaka haswa kama mm nimekuwa mweusi zaidi ya lami wengine wabishi hawataki kabisa kupakaMWENYEWE kasema tupake grease!
Akiii unaniacha njia panda sasa unacheka tuuu na sijui unachochekea[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji188]Mkuu pambana na hali yako tu
Haaah. Haaaah. Haaah. Weee kiboko! Mi nikikaa na mkaa, mkaa unaonekana Mi sionekani mpk nicheke!Na tunazipaka haswa kama mm nimekuwa mweusi zaidi ya lami wengine wabishi hawataki kabisa kupaka