Wanyonge hatuna chetu awamu hii

Wanyonge hatuna chetu awamu hii

Zakamwamoba

Senior Member
Joined
Jul 28, 2016
Posts
177
Reaction score
609
Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.
 
Unatabiri unaota au unaongea fact?
 
Wanyonge wananunuliwa ndege?
Wanyonge wanajengewa uwanja wa ndege wa kisasa huko vijijini?
Wanyonge wanajengewa flyover ili wapitishe maVX yao?
Wanyonge hawatakiwi kuongezewa mishahara?
Wanyonge hawatakiwi kupata ajira?
 
Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.
Mlibandikwa unyonge kufanywa daraja la kuvukia tu... Tanzania ni nchi tajiri..
Wasifie Masikini unusurike !!
 
Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.
FB_IMG_1575390806699.jpg

FB_IMG_1575390800494.jpg
FB_IMG_1575390792397.jpg
 
Sema Sukuma Gang na Burundi Empire hamna chenu Safari hii
Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.
 
Fungasha virago nenda Chato, wanaoona fahari kuitwa Wanyonge badala ya kuona fahari kuondokana na unyonge, huko Chato wanapewa malazi bure.
 
Back
Top Bottom