Wanyonge hatuna chetu awamu hii

Wanyonge hatuna chetu awamu hii

Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.
Samia ni Kikwete mwanamke
 
Hayo mabega lazima tuyashushe kwa nyundo
 
Maskini wa tz ni wabaya sana na wanaroho mbaya sana wanafurahia sana umaskini uende kwa kila mmoja
 
Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.

Hakuna cha wanyonge wala beberu. Hizo terminology mbili zilikuwa planted kuwapumbaza tu...
No salary increment 6 yrs halaf bado mnashangilia eti anatetea wanyonge ?
Mbona hizo hela akina kakoko na Dotto wameiba hakuwahi kuwagawia wanyonge..?
Hivi unafikiri hayo maandaki yakutorosha tanzanite walikuwa wanaiba vibaka ??
Mfano wa Leo wa hiyo taasisi Bodi imekaa vikao 28 ktk mwaka mzima na kujilipa about 1b... yy na hizo mbwembwe zake hakujua ?
Wakandarasi kutolipwa ndani ya wakati na huyo binamu yake... hakujua ???

Na yatazidi kufumuliwa tu, subiri report ya hazina miezi hii 3 ambayo CAG aliagizwa afanye ubaguzi...then report ya ubaguzi Tanroad ndo utajua mabeberu tulikuwa nao humu humu ndani
 
Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.
Wanafiq wakubwa mnafurahia kuitwa wanyonge wakati anaye waita wanyonge anawajibu mkakae na mavi yenu makwenu,hahahaaaaaaa

aliwatumia wajinga kama wewe kujiimarisha kisiasa na nyie mlivyo wajinga mkahadaika nae eti wanyonge halafu anawanyima misaada tena kwa kejeli anaenda kuwapa msaada msumbiji ili apate sifa, eti wanyonge.

Tunajua mipango yenu na mna mikakati ya kuhakikisha mnamkwamisha mama kisa kaanza kufichua maovu ya mungu mtu wenu eti na nyie muanze kujibu mashambulizi, huyo mungu mtu wenu mliye mtengeneza hasafishiki ni mchafu, mbinafsi, mwizi, na mlaghai wa maneno na mwongo mkubwa ,mkabila nasikia mipango yenu ya kumpigia chepuo atawale hadi akichoka na kikundi chenu mlicho andaa kifanye maandamano ya kutengeneza eti kumshinikiza abaki madaraka imevurugikia njiani ,

bora mungu kamuondosha tanzania iponee kwenye mikono salama ya mama samia, nyie na usukuma wenu na kundi lenu la kumkwamisha mama mtaumbuka tu tunataarifa zenu vyema kabisa.
 
Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.
Wanyonge kwenu ni chato nendeni mkeshe kaburini kwake atafufuka 2025
 
Sng
Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone
Angalau hawatapotea watu katika mazingira ya kutatanisha.
 
Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.
Wanyonge wa hapa Tanzania niwale wadanganyika wakiambiwa wanyonge ama wazalendo matako hulia mbwata
 
Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.
Hamna chune maana mmeamua kuendelea kwa makusudi kuwa wanyonge as a way of life.
 
Hivi hizo zama za unanijua mimi nani kwani zilienda wapi? Mbona zipo miaka yote hebu acheni unafiki Watanzania
 
Wanyonge ni watu wajinga ambao hawajitambui ...

Kataa unyonge...
 
Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.
Jiite wewe mnyonge itatosha Sana! Perception yako ipo low Sana kwani ulivyopokea wewe unadhani na wengine wamepokea Kama wewe.
Kama ulinufaika kwa kuitwa mnyonge Basi huna Budi kujibadilisha jina na kujiita yatima!
 
Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.
Wewe nawe ni mingoni mwa wanyonge?Nini chanzo cha unyonge wa raia katika nchi huru for over 59 years ilhali kuna raslimali lukuki?
Tusilazimishane unyonge tusiostahili.
 
Back
Top Bottom