UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Tulikuwa tukiitwa walalahoiUnyonge ulianza kutamkwa lini? Kabla ya hapo wakiitwaje....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulikuwa tukiitwa walalahoiUnyonge ulianza kutamkwa lini? Kabla ya hapo wakiitwaje....
Wakitaka wafe wakaongee naye huko alipo zama za ubabe, vitisho, na kutolewa roho zimeisha. Jina "wanyonge "ni propaganda za wao kuimaliza Nchi, na bado yatafumuka mengi aliyokuwa akiyafanya yule Marehemu mkono wa chumaWanyonge kwenu ni chato nendeni mkeshe kaburini kwake atafufuka 2025
Kwani kawanyang'anya pikipiki zenu?Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.
Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.
Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.
Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.
Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.