Wanyonge hatuna chetu awamu hii

Wanyonge hatuna chetu awamu hii

Wanyonge kwenu ni chato nendeni mkeshe kaburini kwake atafufuka 2025
Wakitaka wafe wakaongee naye huko alipo zama za ubabe, vitisho, na kutolewa roho zimeisha. Jina "wanyonge "ni propaganda za wao kuimaliza Nchi, na bado yatafumuka mengi aliyokuwa akiyafanya yule Marehemu mkono wa chuma
 
Siku za karibuni watu wamepotosha maana ya wanyonge na kusema Tusijite wanyonge.

Guys wanyonge ni wale watu wa hali ya nchi ambao mara nyingi wanakosa wa kuwaseme,kama vile boda boda nk. Rais JPM alijitahidi sana kuwa karibu na watu hawa na kwa uhalisia kundi hili lina watu wengi.

Nimereview hotuba ya leo ya Mh.Rais Samia Suluhu,kitu nimenote ni kwamba uongozi wake unaencourage sana watu wenye kipato cha juu .Zile zama za unanijua mm nani naonae zinarudi.

Gape la wenye nacho na wasio nacho litakuwa kubwa.Rushwa itashika kasi hasa huko TRA.

Wasiwasi hawa watu (Wanyonge) kumkumbuka JPM muda si mrefu.Any way ni mapema sana kuyasema haya ,wacha tuone.
Kwani kawanyang'anya pikipiki zenu?
 
Hao Boda boda wanatakiwa kusemewa nini? Kuvaa helmet? Wasipakizane mishikaki? Wasiendeshe mwendokasi? Au wasitie wanafunzi mimba?

Wale watoto wa mitaani wajiitaje? Wanaolala kwenye vibaraza vya watu, mvua yao jua lao,
Acheni kujinyongesha ujinga,

#Kazi iendelee#
 
Back
Top Bottom