Wanyonge sasa muda wao na wao kuishi kama mashetani, sisi matajiri zamu yetu imekwisha

Wanyonge sasa muda wao na wao kuishi kama mashetani, sisi matajiri zamu yetu imekwisha

Kabisa halafu kuzaliana hovyo, mwisho wa siku tunaongeza tatizo idadi maskini ,ombaomba.
Unakuta Visichana hata havitumii kinga zozote Vinazaa na kila aina ya Mwanaume

Taifa linakuja kuwa na Wazembe wengi kuliko Wasomi
 
Ndugu yangu jua kuwa in order to reach desirable development maskini has no room kabisa na hii ndo principle ya maendeleo otherwise ukikumbatia maskini maana yake umekubali mfe wote na umaskini.

Soma Pareto efficiency ili ujiridhishi. Hayo ndo maendeleo vinginevyo mtakuwa maskini daily.

Halafu hata biology inasema survival of the fittest. So there is no way you can all enjoy. Strong ones must make weaker ones perish in order for survival otherwise you will all die.

No what's better to die all or to have the rescuerer.

Samia is on right track.
Yap masikini tuungane tupambane na sisi tutajirike hakuna kubebana kijinga hata hao matajiri walifanya kazi ya ziada kuupata huo utajiri
 
Acha kujishtukia
Acha kalalamika

Ova
 
Yusuf Manji arudi na alipwe na fidia ili Ajira zirudi kama zamani
 
na mimi nasema waondolewe kabisa
Sasa unakuta mtu ana Duka analipia kodi chungu mzima halafu wao wanakuja kutandika bidhaa zao mbele ya fremu unayoilipia fedha nyingi halafu hawalipi kodi
 
Sasa unakuta mtu ana Duka analipia kodi chungu mzima halafu wao wanakuja kutandika bidhaa zao mbele ya fremu unayoilipia fedha nyingi halafu hawalipi kodi
mkuu acha tu hapa kwetu MWANZA machinga ni kero ya jiji
 
Yusuf Manji arudi na alipwe na fidia ili Ajira zirudi kama zamani
Kweli inabidi mama ambembeleze Manji arudi maana yule ndio mwekezaji wa Manji Gas arudi washirikiane kutoa ajira na Rostam wa Taifa Gas.

Watu wa karibu wa mama wamsaidie mama akutane na Manji wazungumze yaishe arudi,Manji ataisaidia hata Yanga kwa pamoja wakiwekeza na Rostam Yanga itakuwa haikimbii mechi za kwa Mkapa na Simba😂😂😂
 
Back
Top Bottom