Unakuta Visichana hata havitumii kinga zozote Vinazaa na kila aina ya MwanaumeKabisa halafu kuzaliana hovyo, mwisho wa siku tunaongeza tatizo idadi maskini ,ombaomba.
Alichofanya kikubwa ni kuiba kura zote za Upinzani na ndio atakachokumbukwa na Mataga
Hahahahahahahaha anakimbia shamba kijijiniWapunguzwe unakuta mtu anakimbia Shamba lake Kijijini anakuja Mjini na familia yake ni hatari sana kwa Nguvu kazi ya Nchi
Kweli tupu hatuwezi kuwa na miji michafu hivyoKuondolewa kwa Wamachinga pembezoni mwa Barabara kunaashiria kuwa Utawala wa Sheria umerejeshwa na Mama Samia
Pongezi nyingi ziende kwa Raisi Samia Suluhu
Yap masikini tuungane tupambane na sisi tutajirike hakuna kubebana kijinga hata hao matajiri walifanya kazi ya ziada kuupata huo utajiriNdugu yangu jua kuwa in order to reach desirable development maskini has no room kabisa na hii ndo principle ya maendeleo otherwise ukikumbatia maskini maana yake umekubali mfe wote na umaskini.
Soma Pareto efficiency ili ujiridhishi. Hayo ndo maendeleo vinginevyo mtakuwa maskini daily.
Halafu hata biology inasema survival of the fittest. So there is no way you can all enjoy. Strong ones must make weaker ones perish in order for survival otherwise you will all die.
No what's better to die all or to have the rescuerer.
Samia is on right track.
Halafu Vijijini Mashamba hayalimwi yamekuwa Sehemu za mazalia ya NyokaKweli tupu hatuwezi kuwa na miji michafu hivyo
na mimi nasema waondolewe kabisaKuondolewa kwa Wamachinga pembezoni mwa Barabara kunaashiria kuwa Utawala wa Sheria umerejeshwa na Mama Samia
Pongezi nyingi ziende kwa Raisi Samia Suluhu
Sasa unakuta mtu ana Duka analipia kodi chungu mzima halafu wao wanakuja kutandika bidhaa zao mbele ya fremu unayoilipia fedha nyingi halafu hawalipi kodina mimi nasema waondolewe kabisa
mkuu acha tu hapa kwetu MWANZA machinga ni kero ya jijiSasa unakuta mtu ana Duka analipia kodi chungu mzima halafu wao wanakuja kutandika bidhaa zao mbele ya fremu unayoilipia fedha nyingi halafu hawalipi kodi
Warudishwe Chato Wakalimemkuu acha tu hapa kwetu MWANZA machinga ni kero ya jiji
Kweli inabidi mama ambembeleze Manji arudi maana yule ndio mwekezaji wa Manji Gas arudi washirikiane kutoa ajira na Rostam wa Taifa Gas.Yusuf Manji arudi na alipwe na fidia ili Ajira zirudi kama zamani