instagramboy
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 1,521
- 345
yote ni dharau, ni mtt wa tandele iv ni kweli kabisa kwamb mbeya hakuna hotel ya kulala yy! usithubu2 kufka pande ile watamnyonya kimba
Ahahahahaha.WHEN POORLY GETS.. BUTOCKS CRIES LOUDLY...... TEHHHHH
Kama ndo hivo bado kidogo tu uwe msomali
kweli aisee mimi home mbeya kwa ile kauli namuona pimbi sana mbona watu kama AY washafanya collabo hadi na kina romeo but still hawana makuu? diamond kaka yangu acha dharau mashabiki ndo tuliokufikisha hapo!
kila mtu atalibeba furushi lake mwenyewe:angry:
Kuna mahali niliuliza..ila kusema ukweli hii imetokana na maisha anayoishi..watu wanaangalia visingizio vingine..ila ni maisha wanayoishi ya kuigiza, wana hela sana, dharau, kuongeakula tano hatupendi maisha ya location mda wote
Kuna mahali niliuliza..ila kusema ukweli hii imetokana na maisha anayoishi..watu wanaangalia visingizio vingine..ila ni maisha wanayoishi ya kuigiza, wana hela sana, dharau, kuongea
mambo ya kijinga jinga kwenye mitandao..kama kuponda hoteli za mbeya, kuponda techo nk...walijisahau sana sasa ndo feedback hiyo wanaipata
kuna mahali niliuliza..ila kusema ukweli hii imetokana na maisha anayoishi..watu wanaangalia visingizio vingine..ila ni maisha wanayoishi ya kuigiza, wana hela sana, dharau, kuongea
mambo ya kijinga jinga kwenye mitandao..kama kuponda hoteli za mbeya, kuponda techo nk...walijisahau sana sasa ndo feedback hiyo wanaipata
Ni kweli miss Diva Beyonce, ni mwanamziki, mtu wa movie na watu wa burudani inatakiwa waheshimu mashabiki wao sana, maana hizo techno na hizo hoteli wanazo kataa ndo 95% ya mashabiki wao wanazitumia, waende fiesta pale kama hawatakuta watu wametoka uswazi watoto wageti labda ambao wapo chuo tu ndo wameenda..wanaangalia sababu nyingine lkn ndo hizo..wakati mwingine ni ushauri wanakosa bana..Umeongea kweli mtupu sifa za kijinga zime wa cost mara kile sijui nini na kujiona wao ndo best kwa kuendekeza maisha ya kitamthilia na Watanzania wengi hawapendi shobo wajirekebishe
Diamond ndo mbunge wa wapi?
Duu.hiyo ni dalili mbaya hata akiamua kuipotezea.Aangalie alipokosea arekebishe.Kiba naye aliimba?hakuzomewa na team domo?
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kuhonga watu elfu moja wamzomee diamond kuna mahala ameharibu ndio maana imekuwa rahisi kwa kundi kumzomea
Kuna mtu huko facebook anasema mashabiki wa Kiba walilipwa eti na wengine walisombwa kwenye gari za UDA ili wakamzomee Ndomo, nimeishia kucheka tu.
Yaani hawa team ndomo wamechanganyikiwa si kawaida.
Huyo kiba ni nani?
WanaJF sasa ni dhahiri vita ya kummaliza Diamond kisanii ni kubwa sana na peke yake hataiweza kutokana na aina ya watu wanaoiendesha,mmeshuhudia jana kilichofanyika Fiesta.Binafsi sina tatizo na Diamond mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,huyu Dogo anajitahidi,anajituma na anaiheshimu sana kazi yake kwa bahati mbaya Mungu anamuwashia
Greenlight linajitokeza kundi tena la Watanzania wenzetu bila sababu zozote za Msingi linaamua kummaliza,Diamond ni Icon ya kitaifa kimataifa hakuna faida yoyote tutakayopata kwa kumuua kisanii ila kuna faida taifa litapata kwa kumuunga mkono,Fimbo ya mnyonge ni umoja,naombeni tumsaidie huyu Bwanamdogo na nashauri Menejimenti yake iangalie mbele Promotion zifanyike TV na Radio za kimataifa zaidi kwasababu ishaonekana Local kuna hujuma.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
msanii wa kwanza tanzania kuimba na kukaa pamoja na R.KELLY