Wanyonge waanza kumiliki barabara

Wanyonge waanza kumiliki barabara

Street Hawker

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2020
Posts
239
Reaction score
438
Hawa watu wanaoitwa 'wanyonge' walianza kujimilikisha sidewalks, now taratibu wameanza kununua hisa za barabara, soon nazo watazimiliki.

IMG_20210904_114433_440.jpg
IMG_20210904_114356_874.jpg
IMG_20210904_115541_557.jpg
IMG_20210904_114439_505.jpg
IMG_20210904_114304_228.jpg
IMG_20210904_114317_908.jpg
IMG_20210904_114301_387.jpg
IMG_20210904_114347_034.jpg
IMG_20210904_114252_079.jpg
 
Ni sehemu ya script ya mama katika movie yake ya Hollywood inayohusu utalii.
Hata 'wanyonge' ni kivutio cha utalii.

Ila hapo kwenye kuonyesha sura za watu umekosea mkuu. Kuna watu wameaga kwa wake zao wapo mkoa kikazi halafu unawaanika wanachanja mbuga kariakoo.
 
Kilichofanywa na Manispaa ya Morogoro kwenye Soko la Chief Kinga'allu ni chakushutumiwa na kina leta picha mbaya kwa kutumia majina ya viongozi wa nchi kuhalalisha matumizi mabovu ya soko tofauti na utaratibu uliowekwa katika 'design' ya soko hilo. Manispaa wamebadili matumizi ya soko na kuvuruga kabisa taswira nzuri ya Soko.

Viongozi wa manispaa waonywe. Nasubiri Institute Engineers Tanzania tawi la Morogoro watoe tamko.
 
Kilichofanywa na Manispaa ya Morogoro kwenye Soko la Chief Kinga'allu ni chakushutumiwa na kina leta picha mbaya kwa kutumia majina ya viongozi wa nchi kuhalalisha matumizi mabovu ya soko tofauti na utaratibu uliowekwa katika 'design' ya soko hilo. Manispaa wamebadili matumizi ya soko na kuvuruga kabisa taswira nzuri ya Soko.

Viongozi wa manispaa waonywe. Nasubiri Institute Engineers Tanzania tawi la Morogoro watoe tamko.
Panakera sana pale,parking imekuwa shida sasa.
 
Serikali ya CCM haina long-term solution, unategemea nini? Wakiambiwa kilimo ni uti wa mgongo wa kumkomboa mnyonge hawataki. Wanyonge wamekimbilia umachinga maana kilimo hakijawa na tija Tz.
 
Hili ni bomu na itakuwa ngumu kulizuia lisilipuke.Kuwatoa itakuwa shida na kuwaacha ni shida vilivile.Tusubiri mtifuano.
 
Sasa tunaushi kiunafiki unafiki.Eti mtaa wa mama samia mtaa wenyewe wa vubanda vya mbao kweli?
Morogoro wajitafakari.
Parking zinalipa kuliko hata hao wanaotaka kuwaweka,watachafua na watasema hawapati faida na kugomea kodi ya pango tu.
 
Back
Top Bottom