Wanywa soda tuheshimike

Hapana mkuu, nyama choma tunakula kama wengine, makange, vuruga nk tuko vizuri kiuchumi, ila tu hatupendi vitu vichungu.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Sawa mkuu, ila usikwepeshe hilo, hebu tazama meza za walevi na za wanywa soda uone tofauti, walevi utakuta wameagiza manyama choma, michemsho, supu, wali samaki, makongoro, ugali nyama, ugali samaki, ugali mbuzi yani kwa ufupi wanywa soda mna problem za kiuchumi mzikabili tu
 
Mimi huwa nafosi nakunywa Baltika. Wanywa pombe wanajikuta ndio wamiliki wa starehe mkijumuika
Mimi hua nawashangaa sana.. wanajiona wajaaanja wakati sisi tunawaangalia tu tunasema hiiiii πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Tatizo lenu mkitolewa out au mkipigwa offer mnaagiza vinywaji vinavozidi bei ya balimi yan unaagiza azam juice box,grandmalt,redbluee sijui ni nini n.k ungekuwa unakunywa maji ya mende hapo sawa
 
Tatizo lenu mkitolewa out au mkipigwa offer mnaagiza vinywaji vinavozidi bei ya balimi yan unaagiza azam juice box,grandmalt,redbluee sijui ni nini n.k ungekuwa unakunywa maji ya mende hapo sawa

[emoji23][emoji23][emoji23]sasa kipi bora anae kunywa box moja la azam juice au ceres au anaekunywa serengeti lite 5 au 6
 
[emoji23][emoji23][emoji23]sasa kipi bora anae kunywa box moja la azam juice au ceres au anaekunywa serengeti lite 5 au 6

Nawajua hawa wanywa soda,kila kinywaji hatakunywa na misosi wakati wanywa bia mambo ya misosi ni mwiko
 
Nawajua hawa wanywa soda,kila kinywaji hatakunywa na misosi wakati wanywa bia mambo ya misosi ni mwiko

Sasa mnataka tunywe soda moja jero sijui buku wakati nyie mwatumia zaidi[emoji23][emoji23][emoji23]haiwekezani aisee
 
Sasa mnataka tunywe soda moja jero sijui buku wakati nyie mwatumia zaidi[emoji23][emoji23][emoji23]haiwekezani aisee

Wanywa soda hata kunywa grandmalt baada ya hapo sijui nipe redbluee sijui nataka juice mara maji madogo kula sasa kama wamechanjiwa nyie mjamaliza kreti yeye kaagiza chipsi mshikaki,mala kuku mkavu.

Kwa wanywa pombe msosi ni mmoja kama nyama choma inaliwa kwa wakati,kama mitungi basi pombe kali inawekwa kwati,wanao kunywa bia wote bei mmoja
 
Wapuuzi sana ninyi wanywa soda.Mnavizia tukilewa mtongoze mademu wetu.Kenge ninyi.Na mnatufahamu tulivyo wakorofi mtachezea vitasa tu.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nyie wenyewe mnalewa mpaka mnajisahau, madem zenu wanaanza kutushobokea na kusema wanajuta kwanini walikutana na nyie heri wangepata watu kama sisi πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Nawajua hawa wanywa soda,kila kinywaji hatakunywa na misosi wakati wanywa bia mambo ya misosi ni mwiko
Na tumekubaliana kwenye kikao chetu, ni mwiko kwa mnywa soda kuzungusha raundi kwenye meza ya wanywa bia..! πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nyie wenyewe mnalewa mpaka mnajisahau, madem zenu wanaanza kutushobokea na kusema wanajuta kwanini walikutana na nyie heri wangepata watu kama sisi [emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23] Kweli Kabisaa.. Mara nyingi hutokea hasa kwa wale wazee wa Konyagi
 

[emoji23][emoji23][emoji23]hiyo yote ni katika kuhakikisha gharama zinakwenda sawa ili hata kama ni offer basi tuwe tumeitendea haki[emoji23]
 
Nyie wenyewe mnalewa mpaka mnajisahau, madem zenu wanaanza kutushobokea na kusema wanajuta kwanini walikutana na nyie heri wangepata watu kama sisi πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Mnajidai hamgongi vitu Ila macho juujuu kama chupa ya togwa.Tabia zenu zinatushindaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…