Wanywa soda tuheshimike

Wanywa soda tuheshimike

Mnaokunywa soda bar ndio mnapelekaga umbea nyumbani na mtaani.
 
Mtu unaanzaje kunywa mavitu machungu kama mabia, konyagi nk wakati kuna vitu vitam kama fanta pinaple, coke, nk?
Ukinywa hayo unayoyaita machungu, ulimwengu unakuwa tofauti mzee baba!

Mademu wote hapo bar unakuwa unawaona kwa jicho la tatu, very beautiful!
 
swala
Kwa niaba ya sisi wanywa soda na vinywaji laini, naomba kufikisha malalamiko yetu kwa mheshimiwa mwenyekiti kuhusu vitendo visivyo vya staha ambavyo tumekua tukifanyiwa na jamii. Kati ya kadhia kubwa tunazokutana nazo ni hizi zifuatazo;

1. Kudharaulika na kuonekana hatuna hela/tumefulia. Hili halina ukweli wowote na tunalipinga kwa nguvu zote! Sisi wanywa soda ni wachangiaji wakubwa wa pato la taifa.

2. Kwenye vikao vya harusi na sisi tunalazimishwa kuchanga laki wakati soda ni Tsh 500 tu! Hivi kweli jamani hii inaingia akilini? Hasa ukizingatia soda huwezi kunywa zaidi ya mbili, nachangaje sawa na mtu anaefuta kreti ya bia?

3. Kuboeka kwenye shughuli. Tunapokua kwenye shughuli yenye pombe, sisi huanza kuboeka mapema maana hatuoni la maana. Sasa tukiaga kwamba tunataka kwenda nyumbani na saa hiyo ni saa mbili kasoro, mnaanza kutucheka.

4. Kutaniwa kwamba tunaleta nyuki. Ndugu zetu wanywa pombe kwa hili tunaomba mjiheshimu.

5. Kushindwa kwenda na kasi ya wanywa pombe. Haiwezekani kila raundi ya bia ikija na mimi mnaniletea soda. Matokeo yake unakuta nna soda 8 mezani na zote mnafungua, mi ntazinywa vipi? Acheni mambo ya kitoto.

6. Kuona mambo yote ya kijinga wanayofanya walevi. Sisi mda wote akili ziko sharp kwahiyo tunaona kila kitu jinsi wenzetu mnavyojiaibisha. Kesho yake tukija kuwaambia mnatuona wabaya.

7. Kuonekana sisi ni masnitch na hivyo kukwepwa na marafiki zetu walevi. Wewe ukilewa unaanza kushikashika wanawake na sisi tupo, unategemea nini?

8. Kulazimishwa kuendesha gari kuwasambaza walevi majumbani mwao. Watu wakishajua kwenye group yupo mnywa soda, utasikia "wewe leo utaturudisha nyumbani!" Hiyo kazi ya kuzunguka mji mzima kusambaza miili ya watu ambao hawajitambui imeshatuchosha

9. Kuulizwa ulizwa kwanini sisi hatujajenga hasa pale tunapowaambia ukweli ndugu zetu walevi kwamba bia moja ni sawa na tofali 2. Sasa hapo kuna uhusiano gani?

10. Kusingiziwa eti sisi ambao hatunywi pombe tunapenda wanawake! Hilo swala halina ukweli wowote jamani tunaomba mtuache.

Asanteni.
Swala la kuambiwa hatunywi pombe tuna starehe nyingine kwakweli wanatuonea
 
Kwa niaba ya sisi wanywa soda na vinywaji laini, naomba kufikisha malalamiko yetu kwa mheshimiwa mwenyekiti kuhusu vitendo visivyo vya staha ambavyo tumekua tukifanyiwa na jamii. Kati ya kadhia kubwa tunazokutana nazo ni hizi zifuatazo;

1. Kudharaulika na kuonekana hatuna hela/tumefulia. Hili halina ukweli wowote na tunalipinga kwa nguvu zote! Sisi wanywa soda ni wachangiaji wakubwa wa pato la taifa.

2. Kwenye vikao vya harusi na sisi tunalazimishwa kuchanga laki wakati soda ni Tsh 500 tu! Hivi kweli jamani hii inaingia akilini? Hasa ukizingatia soda huwezi kunywa zaidi ya mbili, nachangaje sawa na mtu anaefuta kreti ya bia?

3. Kuboeka kwenye shughuli. Tunapokua kwenye shughuli yenye pombe, sisi huanza kuboeka mapema maana hatuoni la maana. Sasa tukiaga kwamba tunataka kwenda nyumbani na saa hiyo ni saa mbili kasoro, mnaanza kutucheka.

4. Kutaniwa kwamba tunaleta nyuki. Ndugu zetu wanywa pombe kwa hili tunaomba mjiheshimu.

5. Kushindwa kwenda na kasi ya wanywa pombe. Haiwezekani kila raundi ya bia ikija na mimi mnaniletea soda. Matokeo yake unakuta nna soda 8 mezani na zote mnafungua, mi ntazinywa vipi? Acheni mambo ya kitoto.

6. Kuona mambo yote ya kijinga wanayofanya walevi. Sisi mda wote akili ziko sharp kwahiyo tunaona kila kitu jinsi wenzetu mnavyojiaibisha. Kesho yake tukija kuwaambia mnatuona wabaya.

7. Kuonekana sisi ni masnitch na hivyo kukwepwa na marafiki zetu walevi. Wewe ukilewa unaanza kushikashika wanawake na sisi tupo, unategemea nini?

8. Kulazimishwa kuendesha gari kuwasambaza walevi majumbani mwao. Watu wakishajua kwenye group yupo mnywa soda, utasikia "wewe leo utaturudisha nyumbani!" Hiyo kazi ya kuzunguka mji mzima kusambaza miili ya watu ambao hawajitambui imeshatuchosha

9. Kuulizwa ulizwa kwanini sisi hatujajenga hasa pale tunapowaambia ukweli ndugu zetu walevi kwamba bia moja ni sawa na tofali 2. Sasa hapo kuna uhusiano gani?

10. Kusingiziwa eti sisi ambao hatunywi pombe tunapenda wanawake! Hilo swala halina ukweli wowote jamani tunaomba mtuache.

Asanteni.
Wahudumu pia hawatupi glass Kama wanywa bia. Eti inajulikana soda inapigwa tarumbeta tu.
 
Swala la kuambiwa hatunywi pombe tuna starehe nyingine kwakweli wanatuonea
Eti wanasema sisi tusiokunywa pombe tunapenda chini sana. Wakati pombe ukiinywa tu kitu cha kwanza inakushawishi kutafuta mwanamke..!😂[/QUOTE]
 
Mkuu hua tunateseka sana. Halafu bado ukimfikisha mtu nyumbani, mkewe anaanza kukulaumu wewe kwamba inakuaje umekaa na mwenzio mpaka amelewa kiasi hiki mbona wewe hujalewa? Sisi tena ndio tunaonekana wabaya. Nasema enough is enough!
hahahaa
 
Kwa kweli watuheshimu jamani, kuna siku kuna jamaa aliniomba nimsindikize gal wake club kwa kua me nakunywa soda tu kwahiyo ye akilewa atakua salama [emoji23][emoji23][emoji23]

Wanywa soda tuheshimiwe jamani
Jamani kumbe wanawaonea hivyo

Tema mate ptuuh !! Tuwachape walevi
 
Wanywa Soda wanaongoza pia kwa USHIRIKINA mahala pa KAZI...
 
Back
Top Bottom