DOKEZO Wanywaji wa pombe kali tuwe makini, kuna pombe kali feki nyingi nchini

DOKEZO Wanywaji wa pombe kali tuwe makini, kuna pombe kali feki nyingi nchini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

TheCrocodile

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2021
Posts
1,199
Reaction score
3,307
Kama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana.

Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing.
Second chupa haina filter, nikarudi shoppers nikawaambia, huu mzigo feki, wahindi wakagoma goma. Nikawaambia filter ni lazima iwepo, wakabisha, kuwaambia nanunua mohans zina filter wakasema na wao wamenunua mohans.

Nikawaambia isiwe kesi, warudi mohans wawaambie. Nikaiacha nikaondoka.

Wiki baadae napita mitaa, si nikawa mohans, nikawasimulia, mohans wakasema jamaa wa shoppers yeye ndo alijifanya mjanja, kakataa kununua kwao kaagiza container lake mwenyewe sauzi, kumbe kapigwa.

Nikarudi shoppers nikawaambia mohans kasema nyinyi hamkununua kwake huu mzigo, yeye zake zote zina filter,

Hapo shoppers ndo akakubali kunirefund, nikaenda kwenye shelf nikakuta zile chupa feki zote wametoa 🤣🤣🤣🤣🤣

IMG-20230220-WA0006.jpg
IMG-20230220-WA0010.jpg
IMG-20230220-WA0007.jpg
IMG-20230220-WA0009.jpg
IMG-20230220-WA0008.jpg
IMG-20230220-WA0012.jpg
 
Biashara ya pombe feki ni kubwa sana duniani na inafanywa na mamafia wakubwa. Wanachukua Ethanol wanachanganya na methanol sababu methanol ni bei rahisi na unapata stimu ileile. Tatizo la methanol ni sumu kali. Inaua ini macho nk. Kunywa pombe kali bongo hii ni kujitafutia shida tu, ni mara mia ukapige gongo kitaa kuliko kujidai unapiga siju Balck label.
 
Kama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana.

Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing.
Second chupa haina filter, nikarudi shoppers nikawaambia, huu mzigo feki, wahindi wakagoma goma. Nikawaambia filter ni lazima iwepo, wakabisha, kuwaambia nanunua mohans zina filter wakasema na wao wamenunua mohans.

Nikawaambia isiwe kesi, warudi mohans wawaambie. Nikaiacha nikaondoka.

Wiki baadae napita mitaa, si nikawa mohans, nikawasimulia, mohans wakasema jamaa wa shoppers yeye ndo alijifanya mjanja, kakataa kununua kwao kaagiza container lake mwenyewe sauzi, kumbe kapigwa.

Nikarudi shoppers nikawaambia mohans kasema nyinyi hamkununua kwake huu mzigo, yeye zake zote zina filter,

Hapo shoppers ndo akakubali kunirefund, nikaenda kwenye shelf nikakuta zile chupa feki zote wametoa 🤣🤣🤣🤣🤣
poleni mnaohangaika na vinywaji vikali.
 
Back
Top Bottom