FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Mmh, tunywe castle lite tu, inatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaelewaga basi?,mpka waanze kuumwa figo ndio wanajifanya hawatak kusikia tena,na kujifanya wanajutaSio lazima kuwa wanywaji wa pombe. Njia salama ni kuachana kabisa na pombe, mtaokoa pesa na afya zenu.
Unakuta mtu anainanga pombe kumbe mvuta sigara🤣🤣🤣🤣 waislamu wanaonaga pombe ni dhambi huku wanavuta sigara....Sio lazima kuwa wanywaji wa pombe. Njia salama ni kuachana kabisa na pombe, mtaokoa pesa na afya zenu.
Natunza comment....ukiweza kuacha tunaomba mrejesho 🙂😊Naacha Pombe
Kwahiyo ina maana kuna watu wamepaki mindinga yao nje ya mahotel na mabar kumbe wankunywa mataputapu bila ya kujijua,kweli maisha ni mzunguko...Kama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana.
Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing.
Second chupa haina filter, nikarudi shoppers nikawaambia, huu mzigo feki, wahindi wakagoma goma. Nikawaambia filter ni lazima iwepo, wakabisha, kuwaambia nanunua mohans zina filter wakasema na wao wamenunua mohans.
Nikawaambia isiwe kesi, warudi mohans wawaambie. Nikaiacha nikaondoka.
Wiki baadae napita mitaa, si nikawa mohans, nikawasimulia, mohans wakasema jamaa wa shoppers yeye ndo alijifanya mjanja, kakataa kununua kwao kaagiza container lake mwenyewe sauzi, kumbe kapigwa.
Nikarudi shoppers nikawaambia mohans kasema nyinyi hamkununua kwake huu mzigo, yeye zake zote zina filter,
Hapo shoppers ndo akakubali kunirefund, nikaenda kwenye shelf nikakuta zile chupa feki zote wametoa 🤣🤣🤣🤣🤣
Usitupangie maisha ya kuishi mind your businessSio lazima kuwa wanywaji wa pombe. Njia salama ni kuachana kabisa na pombe, mtaokoa pesa na afya zenu.
Kweli kabsa da janePombe kali ni hatari bora wine
Hivi hata zile zanzi au amarula wanachakachua?
sawa sawa mkuu!Natunza comment....ukiweza kuacha tunaomba mrejesho 🙂😊
Ni kweli majuzi nilikunywa kiwingu...nikalewa upande mmoja wa mwili...nikawa napepesuka upande mmojaKama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana.
Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing.
Second chupa haina filter, nikarudi shoppers nikawaambia, huu mzigo feki, wahindi wakagoma goma. Nikawaambia filter ni lazima iwepo, wakabisha, kuwaambia nanunua mohans zina filter wakasema na wao wamenunua mohans.
Nikawaambia isiwe kesi, warudi mohans wawaambie. Nikaiacha nikaondoka.
Wiki baadae napita mitaa, si nikawa mohans, nikawasimulia, mohans wakasema jamaa wa shoppers yeye ndo alijifanya mjanja, kakataa kununua kwao kaagiza container lake mwenyewe sauzi, kumbe kapigwa.
Nikarudi shoppers nikawaambia mohans kasema nyinyi hamkununua kwake huu mzigo, yeye zake zote zina filter,
Hapo shoppers ndo akakubali kunirefund, nikaenda kwenye shelf nikakuta zile chupa feki zote wametoa 🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2523858View attachment 2523859View attachment 2523860View attachment 2523861View attachment 2523862View attachment 2523863
Kwa hio hata mapombe yako unasema katiba. BASI hata mboga isipoiva mtasema napo katiba. iliyopo nayo mtasema haifai. Okoa hela kunywa maziwa.mbona mazuriHayo majitu yananikera mimi. Na yanakula mishahara kila mwisho wa mwezi.
Kama umegundua inawezekana wanaona kabisa hizi changamoto ila wanashindwa kuziapproach sababu kuna viongozi na viongozi wakubwa wa serikali tena ambao wapo karibu hata na raisi hizi ni biashara ambazo wanaumiliki nazo.
Haya yote tunaweza yashughulikia kama tutaandika katiba mpya ambayo itaelekeza na kutoa ruhusa ya mamlaka moja kuwajibisha mamlaka nyingine bila muingiliano wa kimasilahi.
Yaani mfano kwasasa mkuu wa Takukuru, mkuu wa jeshi la polisi na hata mahakimu na watendaji wa vyombo vya sheria wakiwa sio zao la teuzi za raisi wangekuwa na nguvu ya kumtia nguvuni na mkutoa mtendaji au kiongozi yoyote ambaye itadhihirika kuwa anashiriki shughuli za uhalifu kama hizi na kuhakikisha anahukumiwa haraka sana.
Mambo ya dabokiki hayaBiashara ya pombe feki ni kubwa sana duniani na inafanywa na mamafia wakubwa. Wanachukua Ethanol wanachanganya na methanol sababu methanol ni bei rahisi na unapata stimu ileile. Tatizo la methanol ni sumu kali. Inaua ini macho nk. Kunywa pombe kali bongo hii ni kujitafutia shida tu, ni mara mia ukapige gongo kitaa kuliko kujidai unapiga siju Balck label.
Mavi hayana shida,Ni Catalyst Ile.Mnapoelekea mtaanza kuchanganyiwa mpaka mavi nyie kaeni kwa kutulia tu.