Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Hizo monde zinapigwa sana wa wanawake kuliko MENdio maana magonjwa yasiyo na majina yameongezeka kwa wanaume...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo monde zinapigwa sana wa wanawake kuliko MENdio maana magonjwa yasiyo na majina yameongezeka kwa wanaume...
Katika monde zote black label tu ndio ya kutolea mfano mkuuBiashara ya pombe feki ni kubwa sana duniani na inafanywa na mamafia wakubwa. Wanachukua Ethanol wanachanganya na methanol sababu methanol ni bei rahisi na unapata stimu ileile. Tatizo la methanol ni sumu kali. Inaua ini macho nk. Kunywa pombe kali bongo hii ni kujitafutia shida tu, ni mara mia ukapige gongo kitaa kuliko kujidai unapiga siju Balck label.
Vipi sisi wadau wa K-Vant,Konywagi na Valuu?Biashara ya pombe feki ni kubwa sana duniani na inafanywa na mamafia wakubwa. Wanachukua Ethanol wanachanganya na methanol sababu methanol ni bei rahisi na unapata stimu ileile. Tatizo la methanol ni sumu kali. Inaua ini macho nk. Kunywa pombe kali bongo hii ni kujitafutia shida tu, ni mara mia ukapige gongo kitaa kuliko kujidai unapiga siju Balck label.
Wine zile mnazotoka nazo Dodoma za kwenye majagi za kijasirilia mali mnapigwa sana na soda deep plus methanolPombe kali ni hatari bora wine
Hivi hata zile zanzi au amarula wanachakachua?
Buda maji unayokunywa ya mjini ya chupa haya 83% mnapigwa sumukutuVip kuhusu DOUBLE KICK, COOKER, SMART GIN
SI wachina wataku wanazi fyatua balaa maana BONGO ni shamba la bibi...
Vip kuhusu MAJI ya kunywa SI watakua wanachakachua balaa..sijui MASAFI, HILLS, N.k
Ili tupalilie vitambiMmh, tunywe castle lite tu, inatosha
Halafu ombea usiagize shots zake usiku wanakuletea valuu mixer nini ile mpyahahahahaha, nimejikuta nacheka tu.
dah, hizi Jack D na Hainnesy ndio balaa kwakunjungwa, Jack D kila unapokunywa ladha ni tofauti tofauti..
Muulize kodi atalipa naniUmesha jiuliza Ni watu wangapi duniani watakosa ajira kwa wazo Lako la kipuuz?
Bangi wanakuambia sio haramu ni makruu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unakuta mtu anainanga pombe kumbe mvuta sigara[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] waislamu wanaonaga pombe ni dhambi huku wanavuta sigara....
Wanaona pombe haramu huku wanafanya zinaa tena unakuta mtu swala 5...
Soon and very soon😅😅😅Mnapoelekea mtaanza kuchanganyiwa mpaka mavi nyie kaeni kwa kutulia tu.
Hamko salamaVipi sisi wadau wa K-Vant,Konywagi na Valuu?
Kuna pisi juzi inauza sura na MARTIN huku imeandikwa NITRAM😁🤣🤣🤣 Mchina kageuza maneno tu.Nilihamia beer baad ya kuona nyingi wanachakachua nikiwaga viwanja Dar Huwa nachekwa watu wnanunua Moet 120 k Hennessy 150 na ni fake
Na Huwa hivyiKuna saa unakunywa pombe unasema hii sio hasa kama ni kinywaji chako pendwa
Ndio huzuni inapoanziaMkuu shida kubwa ninayoiona ni mazingira ambayo hizo pombe feki zinatengenezwa.... Yaani unaweza pata magonjwa maana mazingira hovyo kabisa.
Halafu mkuu unanunua Hennessy 180,000 kumbe imetengenezwa Buguruni kwenye sakafu.
Sizani hata pombe ndogo na beer ni vigumuHivi kuna smart gin feki?
Du kupigwa kilasehemuWine zile mnazotoka nazo Dodoma za kwenye majagi za kijasirilia mali mnapigwa sana na soda deep plus methanol
Hahahaha balaaaaKuna pisi juzi inauza sura na MARTIN huku imeandikwa NITRAM[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mchina kageuza maneno tu.
Mtakufa vibaya Nyinyi