DOKEZO Wanywaji wa pombe kali tuwe makini, kuna pombe kali feki nyingi nchini

DOKEZO Wanywaji wa pombe kali tuwe makini, kuna pombe kali feki nyingi nchini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huu uzi umearibiwa na wanafki , wasio pata kilevi mm nawaonaga wanafki tu.
 
Kama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana.

Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing.
Second chupa haina filter, nikarudi shoppers nikawaambia, huu mzigo feki, wahindi wakagoma goma. Nikawaambia filter ni lazima iwepo, wakabisha, kuwaambia nanunua mohans zina filter wakasema na wao wamenunua mohans.

Nikawaambia isiwe kesi, warudi mohans wawaambie. Nikaiacha nikaondoka.

Wiki baadae napita mitaa, si nikawa mohans, nikawasimulia, mohans wakasema jamaa wa shoppers yeye ndo alijifanya mjanja, kakataa kununua kwao kaagiza container lake mwenyewe sauzi, kumbe kapigwa.

Nikarudi shoppers nikawaambia mohans kasema nyinyi hamkununua kwake huu mzigo, yeye zake zote zina filter,

Hapo shoppers ndo akakubali kunirefund, nikaenda kwenye shelf nikakuta zile chupa feki zote wametoa 🤣🤣🤣🤣🤣

View attachment 2523858View attachment 2523859View attachment 2523860View attachment 2523861View attachment 2523862View attachment 2523863
Mnajiendekeza sana kheee.
 
Biashara ya pombe feki ni kubwa sana duniani na inafanywa na mamafia wakubwa. Wanachukua Ethanol wanachanganya na methanol sababu methanol ni bei rahisi na unapata stimu ileile. Tatizo la methanol ni sumu kali. Inaua ini macho nk. Kunywa pombe kali bongo hii ni kujitafutia shida tu, ni mara mia ukapige gongo kitaa kuliko kujidai unapiga siju Balck label.
Hakika mkuu nimefanya huo utafiti kwa muda sasa ,mwanzo nilikua nagonga kali ila asubuhi macho yaaona ukungu tupu ,nikaingia chaka a.k.a Ubandani gonga mkuki gonga mkuki lkn hilo tatizo halikutokea sasa hivi nmerudi tu kwenye Mbege...
 
Kama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana.

Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing.
Second chupa haina filter, nikarudi shoppers nikawaambia, huu mzigo feki, wahindi wakagoma goma. Nikawaambia filter ni lazima iwepo, wakabisha, kuwaambia nanunua mohans zina filter wakasema na wao wamenunua mohans.

Nikawaambia isiwe kesi, warudi mohans wawaambie. Nikaiacha nikaondoka.

Wiki baadae napita mitaa, si nikawa mohans, nikawasimulia, mohans wakasema jamaa wa shoppers yeye ndo alijifanya mjanja, kakataa kununua kwao kaagiza container lake mwenyewe sauzi, kumbe kapigwa.

Nikarudi shoppers nikawaambia mohans kasema nyinyi hamkununua kwake huu mzigo, yeye zake zote zina filter,

Hapo shoppers ndo akakubali kunirefund, nikaenda kwenye shelf nikakuta zile chupa feki zote wametoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

View attachment 2523858View attachment 2523859View attachment 2523860View attachment 2523861View attachment 2523862View attachment 2523863
Mi kwangu pombe feki ni ile ambayo ukinywa hulewi.

Kama pombe inanipatia stimu huo ufeki unakujaje?

Najua hapa mtakuja wanasayansi uchwara na siasa za tbs utadhani kule kwenu ushilombo babu zako walikuwa wanakunywa pombe za tbs
 
Kama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana.

Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing.
Second chupa haina filter, nikarudi shoppers nikawaambia, huu mzigo feki, wahindi wakagoma goma. Nikawaambia filter ni lazima iwepo, wakabisha, kuwaambia nanunua mohans zina filter wakasema na wao wamenunua mohans.

Nikawaambia isiwe kesi, warudi mohans wawaambie. Nikaiacha nikaondoka.

Wiki baadae napita mitaa, si nikawa mohans, nikawasimulia, mohans wakasema jamaa wa shoppers yeye ndo alijifanya mjanja, kakataa kununua kwao kaagiza container lake mwenyewe sauzi, kumbe kapigwa.

Nikarudi shoppers nikawaambia mohans kasema nyinyi hamkununua kwake huu mzigo, yeye zake zote zina filter,

Hapo shoppers ndo akakubali kunirefund, nikaenda kwenye shelf nikakuta zile chupa feki zote wametoa 🤣🤣🤣🤣🤣

View attachment 2523858View attachment 2523859View attachment 2523860View attachment 2523861View attachment 2523862View attachment 2523863
Watatuua
 
Mi kwangu pombe feki ni ile ambayo ukinywa hulewi.

Kama pombe inanipatia stimu huo ufeki unakujaje?

Najua hapa mtakuja wanasayansi uchwara na siasa za tbs utadhani kule kwenu ushilombo babu zako walikuwa wanakunywa pombe za tbs
Kuna nyingine zinaumiza makoo kama umemeza mkaa hasa hivi vikali
 
Mi kwangu pombe feki ni ile ambayo ukinywa hulewi.

Kama pombe inanipatia stimu huo ufeki unakujaje?

Najua hapa mtakuja wanasayansi uchwara na siasa za tbs utadhani kule kwenu ushilombo babu zako walikuwa wanakunywa pombe za tbs
Mkuu shida kubwa ninayoiona ni mazingira ambayo hizo pombe feki zinatengenezwa.... Yaani unaweza pata magonjwa maana mazingira hovyo kabisa.
Halafu mkuu unanunua Hennessy 180,000 kumbe imetengenezwa Buguruni kwenye sakafu.
 
Kama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana.

Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing.
Second chupa haina filter, nikarudi shoppers nikawaambia, huu mzigo feki, wahindi wakagoma goma. Nikawaambia filter ni lazima iwepo, wakabisha, kuwaambia nanunua mohans zina filter wakasema na wao wamenunua mohans.

Nikawaambia isiwe kesi, warudi mohans wawaambie. Nikaiacha nikaondoka.

Wiki baadae napita mitaa, si nikawa mohans, nikawasimulia, mohans wakasema jamaa wa shoppers yeye ndo alijifanya mjanja, kakataa kununua kwao kaagiza container lake mwenyewe sauzi, kumbe kapigwa.

Nikarudi shoppers nikawaambia mohans kasema nyinyi hamkununua kwake huu mzigo, yeye zake zote zina filter,

Hapo shoppers ndo akakubali kunirefund, nikaenda kwenye shelf nikakuta zile chupa feki zote wametoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

View attachment 2523858View attachment 2523859View attachment 2523860View attachment 2523861View attachment 2523862View attachment 2523863
Wanatuchuuza sana, asante kwa kuwachanua wapiga monde na kuwachafulia shopperzs kwa ubishi wao wa kujidai wajanja wakuagiza kivyao
 
Back
Top Bottom