Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 1,534
- 1,511
BEERNini sio feki bongo au Africa in general? Madawa ya binadamu 40% ni feki, pombe feki Kila kitu feki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BEERNini sio feki bongo au Africa in general? Madawa ya binadamu 40% ni feki, pombe feki Kila kitu feki
We Koma kabisa.Mpuuzi mmoja weyeSio lazima kuwa wanywaji wa pombe. Njia salama ni kuachana kabisa na pombe, mtaokoa pesa na afya zenu.
Kila Wine inanyegereshaSema hako ka wine ka Mohans
Kana turn on balaa
Nilikakimbia kwa sababu hiyo
Hamna 😂Kila Wine inanyegeresha
Pombe kunywa ni kuongezea AFYASio lazima kuwa wanywaji wa pombe. Njia salama ni kuachana kabisa na pombe, mtaokoa pesa na afya zenu.
Hasa beerPombe kunywa ni kuongezea AFYA
Mnajiendekeza sana kheee.Kama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana.
Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing.
Second chupa haina filter, nikarudi shoppers nikawaambia, huu mzigo feki, wahindi wakagoma goma. Nikawaambia filter ni lazima iwepo, wakabisha, kuwaambia nanunua mohans zina filter wakasema na wao wamenunua mohans.
Nikawaambia isiwe kesi, warudi mohans wawaambie. Nikaiacha nikaondoka.
Wiki baadae napita mitaa, si nikawa mohans, nikawasimulia, mohans wakasema jamaa wa shoppers yeye ndo alijifanya mjanja, kakataa kununua kwao kaagiza container lake mwenyewe sauzi, kumbe kapigwa.
Nikarudi shoppers nikawaambia mohans kasema nyinyi hamkununua kwake huu mzigo, yeye zake zote zina filter,
Hapo shoppers ndo akakubali kunirefund, nikaenda kwenye shelf nikakuta zile chupa feki zote wametoa 🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2523858View attachment 2523859View attachment 2523860View attachment 2523861View attachment 2523862View attachment 2523863
Hakika mkuu nimefanya huo utafiti kwa muda sasa ,mwanzo nilikua nagonga kali ila asubuhi macho yaaona ukungu tupu ,nikaingia chaka a.k.a Ubandani gonga mkuki gonga mkuki lkn hilo tatizo halikutokea sasa hivi nmerudi tu kwenye Mbege...Biashara ya pombe feki ni kubwa sana duniani na inafanywa na mamafia wakubwa. Wanachukua Ethanol wanachanganya na methanol sababu methanol ni bei rahisi na unapata stimu ileile. Tatizo la methanol ni sumu kali. Inaua ini macho nk. Kunywa pombe kali bongo hii ni kujitafutia shida tu, ni mara mia ukapige gongo kitaa kuliko kujidai unapiga siju Balck label.
Mi kwangu pombe feki ni ile ambayo ukinywa hulewi.Kama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana.
Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing.
Second chupa haina filter, nikarudi shoppers nikawaambia, huu mzigo feki, wahindi wakagoma goma. Nikawaambia filter ni lazima iwepo, wakabisha, kuwaambia nanunua mohans zina filter wakasema na wao wamenunua mohans.
Nikawaambia isiwe kesi, warudi mohans wawaambie. Nikaiacha nikaondoka.
Wiki baadae napita mitaa, si nikawa mohans, nikawasimulia, mohans wakasema jamaa wa shoppers yeye ndo alijifanya mjanja, kakataa kununua kwao kaagiza container lake mwenyewe sauzi, kumbe kapigwa.
Nikarudi shoppers nikawaambia mohans kasema nyinyi hamkununua kwake huu mzigo, yeye zake zote zina filter,
Hapo shoppers ndo akakubali kunirefund, nikaenda kwenye shelf nikakuta zile chupa feki zote wametoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2523858View attachment 2523859View attachment 2523860View attachment 2523861View attachment 2523862View attachment 2523863
Hizi ndio zinaongoza Kwa fake Kila mahala kiwanda bubu
WatatuuaKama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana.
Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing.
Second chupa haina filter, nikarudi shoppers nikawaambia, huu mzigo feki, wahindi wakagoma goma. Nikawaambia filter ni lazima iwepo, wakabisha, kuwaambia nanunua mohans zina filter wakasema na wao wamenunua mohans.
Nikawaambia isiwe kesi, warudi mohans wawaambie. Nikaiacha nikaondoka.
Wiki baadae napita mitaa, si nikawa mohans, nikawasimulia, mohans wakasema jamaa wa shoppers yeye ndo alijifanya mjanja, kakataa kununua kwao kaagiza container lake mwenyewe sauzi, kumbe kapigwa.
Nikarudi shoppers nikawaambia mohans kasema nyinyi hamkununua kwake huu mzigo, yeye zake zote zina filter,
Hapo shoppers ndo akakubali kunirefund, nikaenda kwenye shelf nikakuta zile chupa feki zote wametoa 🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2523858View attachment 2523859View attachment 2523860View attachment 2523861View attachment 2523862View attachment 2523863
Kuna nyingine zinaumiza makoo kama umemeza mkaa hasa hivi vikaliMi kwangu pombe feki ni ile ambayo ukinywa hulewi.
Kama pombe inanipatia stimu huo ufeki unakujaje?
Najua hapa mtakuja wanasayansi uchwara na siasa za tbs utadhani kule kwenu ushilombo babu zako walikuwa wanakunywa pombe za tbs
Mkuu shida kubwa ninayoiona ni mazingira ambayo hizo pombe feki zinatengenezwa.... Yaani unaweza pata magonjwa maana mazingira hovyo kabisa.Mi kwangu pombe feki ni ile ambayo ukinywa hulewi.
Kama pombe inanipatia stimu huo ufeki unakujaje?
Najua hapa mtakuja wanasayansi uchwara na siasa za tbs utadhani kule kwenu ushilombo babu zako walikuwa wanakunywa pombe za tbs
Wanatuchuuza sana, asante kwa kuwachanua wapiga monde na kuwachafulia shopperzs kwa ubishi wao wa kujidai wajanja wakuagiza kivyaoKama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana.
Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing.
Second chupa haina filter, nikarudi shoppers nikawaambia, huu mzigo feki, wahindi wakagoma goma. Nikawaambia filter ni lazima iwepo, wakabisha, kuwaambia nanunua mohans zina filter wakasema na wao wamenunua mohans.
Nikawaambia isiwe kesi, warudi mohans wawaambie. Nikaiacha nikaondoka.
Wiki baadae napita mitaa, si nikawa mohans, nikawasimulia, mohans wakasema jamaa wa shoppers yeye ndo alijifanya mjanja, kakataa kununua kwao kaagiza container lake mwenyewe sauzi, kumbe kapigwa.
Nikarudi shoppers nikawaambia mohans kasema nyinyi hamkununua kwake huu mzigo, yeye zake zote zina filter,
Hapo shoppers ndo akakubali kunirefund, nikaenda kwenye shelf nikakuta zile chupa feki zote wametoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2523858View attachment 2523859View attachment 2523860View attachment 2523861View attachment 2523862View attachment 2523863