Sorry nimeona mkuu maana zimetoka taarifa nyingi fekiUsiende kwenye usaili sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry nimeona mkuu maana zimetoka taarifa nyingi fekiUsiende kwenye usaili sasa
😁😁😁Usiende kwenye usaili sasa
JiandaeKama imekaa kifeki hivi
Sasa unakuw huelewek mkuu maan that time ajir zilitolew kwa wote sasa hawaajil wote ndio wanafanyisha usajiliThe system was rigged....huwezi kupata competent people without interviews...unless tungekua bado zile zama za uhaba wa graduates...ila sasa tuna graduates wengi...hivyo ni vizuri wale wajuzi kuliko wenzao wawe vetted watusukumie ghurudumu la Elimu ya Tanzania
Uko sahihi...nimefurahia interview zina vet out vichwa maji na vilaza walionunua degree zao na kuhonga papaSasa unakuw huelewek mkuu maan that time ajir zilitolew kwa wote sasa hawaajil wote ndio wanafanyisha usajili
Sijui upo mbele ya muda au nyuma ya muda
Brother unaogpa usahili !? Maana wamepost mpka huko kwenye website zao still unatafuta sababuKama imekaa kifeki hivi
Time Will tell us...Brother unaogpa usahili !? Maana wamepost mpka huko kwenye website zao still unatafuta sababu
Ndiyo mkuukuna alie fanikiwa ku huisha anuani ya makazi
😂😂😂😂😂 mkuu pole sana but get ready get readyTime Will tell us...
PovuKumbe usaili upo safi sana wamezoea kazi za bure hadi wasioweza kusimama mbele za watu na kujieleza walipata kazi 😎
Changanya na tambara zako kafuliePovu
Kaka rushwa nayo inategemea umempa Nani aisee chunga sana unaeza pigwa hela alafu ukakosa ajira. Habari ya rushwa usiiamini sana ndugu. Kuna Hawa jamaa wanasema leta laki 5 upate ajira kua makini. Habari ni interview kaka faulu upateMimi nina Suala moja ndugu zangu hebu naomba tusaidiane.....Hili katazo la "Usitoe wala Kupokea Rushwa" ni realistic kweli au ni zuga tu kupunguza watu ila wataojiongeza ndio wataopenya?