muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,557
- 6,128
Mkuu unaonekana una roho mbaya na ya wivuKumbe usaili upo safi sana wamezoea kazi za bure hadi wasioweza kusimama mbele za watu na kujieleza walipata kazi 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unaonekana una roho mbaya na ya wivuKumbe usaili upo safi sana wamezoea kazi za bure hadi wasioweza kusimama mbele za watu na kujieleza walipata kazi 😎
Acheni kupenda mserereko walimuMkuu unaonekana una roho mbaya na ya wivu
Naona wengne hawafanyi ya mchujo written
Usaili utafanya tuu hata usipotaka 😂Mkuu unaonekana una roho mbaya na ya wivu
🤣🤣 Watakandwa tuUsaili utafanya tuu hata usipotaka 😂
Ofisi za manispaaMajina yakwapi
Walisema watatoa majina tarehe sita lkn naona hakuna mambo ya serikali ovyo tuMajina yakwapi
Unayasikiliza haya ma CCM mkuu. Serikali ya matapeli achana nao haya yanafanya kazi Kwa kubahatisha. Utaumia Bure Kwa stress ukizingatia matamko na matangazo ya Ma CCM.Walisema watatoa majina tarehe sita lkn naona hakuna mambo ya serikali ovyo tu
Mwalimu jiandae na kukandwa huu muda unaopoteza utaukumbuka.Walisema watatoa majina tarehe sita lkn naona hakuna mambo ya serikali ovyo tu
Mie Sina written interview.. Ni oral tuMwalimu jiandae na kukandwa huu muda unaopoteza utaukumbuka.
Kwahiyo, Oral hujiandai mkuu?Mie Sina written interview.. Ni oral tu
Sio ngumu hata hivyo wametoa tayari majinaKwahiyo, Oral hujiandai mkuu?
...........Jiandae na Mkando wa Oral Mwalimu.
Kuna watu mnajifanya much know lakini niweupe vichwani sana "teacher's must be a cream" Sasa hapo umeandika Nini?Wanatuhatibia watoto hao wachache ... Kwenye ulimwengu wa sasa Teacher's must be a cream...wao ndio foundation ya kila kitu... Sina wivu na sina hamu na ualimu.
Sio ngumu eeh!!Sio ngumu hata hivyo wametoa tayari majina
Bahati mbaya i had bogus & hollow head teachers like you, what do you expect from me ? Apple halidomdoki kwenye mlimao kiazi wewe.Kuna watu mnajifanya much know lakini niweupe vichwani sana "teacher's must be a cream" Sasa hapo umeandika Nini?