Waombaji ajira za Ualimu waitwa Usaili

Waombaji ajira za Ualimu waitwa Usaili

Walisema watatoa majina tarehe sita lkn naona hakuna mambo ya serikali ovyo tu
Unayasikiliza haya ma CCM mkuu. Serikali ya matapeli achana nao haya yanafanya kazi Kwa kubahatisha. Utaumia Bure Kwa stress ukizingatia matamko na matangazo ya Ma CCM.
 
Wanatuhatibia watoto hao wachache ... Kwenye ulimwengu wa sasa Teacher's must be a cream...wao ndio foundation ya kila kitu... Sina wivu na sina hamu na ualimu.
Kuna watu mnajifanya much know lakini niweupe vichwani sana "teacher's must be a cream" Sasa hapo umeandika Nini?
 
Kuna watu mnajifanya much know lakini niweupe vichwani sana "teacher's must be a cream" Sasa hapo umeandika Nini?
Bahati mbaya i had bogus & hollow head teachers like you, what do you expect from me ? Apple halidomdoki kwenye mlimao kiazi wewe.
 
Back
Top Bottom