Waombaji wa kada ya Afya naombeni mje mnishauri

Waombaji wa kada ya Afya naombeni mje mnishauri

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Mdogu wa kike ana diploma ya nursing and midwifely, but katika kuomba ameniuliza kama anaweza kuomba nafasi ya muuguzi daraja II yaani wa certificate.

Anauliza kufanya hvyo kwasababu upepo kwa upande wao ni mbaya yaani unakuta wilaya nzima wanataka RN mmoja tu wakati EN zaidi ya 20 mfano yeye wilaya aliyopo nafasi ya RN ni moja wakati EN ni nafasi 26 sasa anataka kuomba EN.

Changamoto ni kwamba Ana cheti cha EN lakini leseni ni RN vipi inawezekana?

Ushauri wenu jamani🙏
 
Mdogu wa kike ana diploma ya nursing and midwifely, but katika kuomba ameniuliza kama anaweza kuomba nafasi ya muuguzi daraja II yaani wa certificate.

Anauliza kufanya hvyo kwasababu upepo kwa upande wao ni mbaya yaani unakuta wilaya nzima wanataka RN mmoja tu wakati EN zaidi ya 20 mfano yeye wilaya aliyopo nafasi ya RN ni moja wakati EN ni nafasi 26 sasa anataka kuomba EN.

Changamoto ni kwamba Ana cheti cha EN lakini leseni ni RN vipi inawezekana?

Ushauri wenu jamani[emoji120]
Mtaka yote kwa pupa ukosa yote
 
atafute leseni kwanza kwa ajili ya cheti... overqualifctn matokeo yake una yafahamu bila shaka...
 
Back
Top Bottom