Uingeleza nao wana tabia kama za watu wa huku Pwani Pwani twenzetu kwa Trampo
Kwani wewe ni Nyani Ngabu....[emoji15] [emoji15]hahahaa, Laifu bani kwani nimemtukana Melo hahahahahaaha.
Namnanihahaha, wavirita kadaraja ketu ka rimbeni. hahahaaahahhaha.
hahahaha unamtafuta uchokozi Kijana wa USAKwani wewe ni Nyani Ngabu....[emoji15] [emoji15]
Ona sasa tayari umesha julikana...[emoji12] [emoji12]
f, g, h,...Wanaijua hii akaunti ni na kuna nyingine a,b, c, e,
ChediNamnani
hahahaha rimbenii miss sana aiseehahaha, wavirita kadaraja ketu ka rimbeni. hahahaaahahhaha.
NAHUJA yupo mkuu, asubuhi nilipishana nae pale Buzuruga kwenye mataa alikua na prado lake wakati minavuka na baisikeli kuelekea shambani huko Mahinahahahha hvi NAHUJA yupogo? i miss that lady jaman !ukimuona mwambie naandaa kongamano nije mkoa alipo !hehehehe bata watuonee wivu !
hahahaahahahhahaha mashouger ! haya nipo 'tayali' nakumbuka enzi namaliza shule nilikua na mzuka sio wa nchi hii jaman !
Nichek PMWhy uote?
wemkumbuke mzee ekiitangwa HAMITHI MJEWA hahahahaa
πππDuhhh.....
Naona mlipendeza sana....[emoji12] [emoji12]
NAHUJA yupo mkuu, asubuhi nilipishana nae pale Buzuruga kwenye mataa alikua na prado lake wakati minavuka na baisikeli kuelekea shambani huko Mahina
πππ usinitie hamu na hivi sina kitu sasa hivina mshahara umepanda au
πππ usinitie hamu na hivi sina kitu sasa hivi
Washindathehahaha kwa art zako ni rahis kufahamika !