MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
wewe na kilimo wapi na wapiMvua zinanyesha au ni kumwagilia, mmmh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe na kilimo wapi na wapiMvua zinanyesha au ni kumwagilia, mmmh!
Nasubiria jibu! Bora angemtaja BEIRA BOYSasa wewe kuwa senior member ina uhusiano gani na MBITIYAZA?
Sasa nilime nini na hali vyakula viko sokoni lundo!!!!😵😵😵wewe na kilimo wapi na wapi
Nasubiria jibu! Bora angemtaja BEIRA BOY
Tunamwagilia mkuuMvua zinanyesha au ni kumwagilia, mmmh!
na vipo cheap hatar !kilimot bongo kwakweli bado !masoko hakuna tabu tupu !dalali anakupangia bei !mbbaaafuSasa nilime nini na hali vyakula viko sokoni lundo!!!!😵😵😵
Tatizo wakulima wetu hawajui kutafuta masoko. Pia tatizo linguine hawana uwezo wa kuongeza thamani ya mazao kwa mfano akilima machungwa ajue hadi kutengeneza juisi auze. Kama amelima mahindi basi asage unga auzena vipo cheap hatar !kilimot bongo kwakweli bado !masoko hakuna tabu tupu !dalali anakupangia bei !mbbaaafu
Tatizo wakulima wetu hawajui kutafuta masoko. Pia tatizo linguine hawana uwezo wa kuongeza thamani ya mazao kwa mfano akilima machungwa ajue hadi kutengeneza juisi auze. Kama amelima mahindi basi asage unga auze
vibali ndio wanasumbua kutoa?shoga kuna ukiritimba kwenye hayo mambo achaga tu !yaan utazungushwa weee !mie kuna kaprocess kamoja nimestuck nw nakaribia mwaka !yaan sijui tu ! usifikirie ni rahis hvyo!
wanasumbua sana !vibali ndio wanasumbua kutoa?
MwenyeweUrewedi?
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Khaaaa
Haha pole nitkufundisha usijaliMwenyewe
SawaHaha pole nitkufundisha usijali
hahaha pole😕😕😕 usinitie hamu na hivi sina kitu sasa hivi
Hahahahahaaaaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa wewe kuwa senior member ina uhusiano gani na MBITIYAZA?
Hapo sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahaa kwan kunitaja imekuwa kosa ? mbona kamtaja@mwifwa