Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi vyeo vya JF ingekuwa na huko kwenye utumishi tunapandishwa vyeo haraka namna hii hakuna ambaye angechukia utumishi wa umma au kufanya kazi kwa manung'uniko hahahahahah
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Platnum member unadhani unapata bure tu kama maji ya kudownload eee???
we andika yake tu huon ni ke
ID=Identity/Identification/Username/Jina la mtumiaji yoyote wa JF kama wewe unavyojiita 'toroka uje mjini' hiyo ndio ID yakoWakuu id ndio nini??msaada wakuu mnifahamishe na mie
nilimwambia nami natakiwa kuwa na id nyingine !mie sinaga id nyingine !nikipigwa ba huwa nakuwa mpole !huyubalipigwa ban akaamua kujiongeza
ID ni kama hii hapa toroka uje mjiniWakuu id ndio nini??msaada wakuu mnifahamishe na mie
Platnum member unadhani unapata bure tu kama maji ya kudownload eee???
Joseverest kaamua kunipa za uso, hatakagi mchezo huyu😳🙄😵😱😕😎[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
bila shaka nitapewa tuzo!Hahahahaha naona unadhani ukiwa jf expert labda kuna zawadi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
iko njema haina shida wala kazi ngumuKazi kweli kweli
Tuma na majina yako kabisa uwe verified user! Acha kuzubaabila shaka nitapewa tuzo!
Hahaha nakutania mkuu....ila uPlatnum member unachangia kidogo mkuu