Mchwa wanamalizwa na boric acid au bifen xta hasa kwa mbao ambazo tayari zimeshawekwa juu huko. Oil chafu inapunguza tu tatizo kwa mda.sio kwamba anazungumzia wale wadudu kama mende ? dumuzi ?
wale oil chafu hutoki bado
haisaidii, nishafanya hii mzee, wakawa kimya kama miezi 6 wakarudiHapo ni kupiga fumigation ya darini tu
Kumbe diesel inasaidia eenh!haisaidii, nishafanya hii mzee, wakawa kimya kama miezi 6 wakarudi
option ambayo binafsi niko mbioni kujaribu ni Diesel
kwangu mchwa sina kiukweli maana niliwadhibiti wasipande darini kutokea chini na nikawezaMchwa wanamalizwa na boric acid au bifen xta hasa kwa mbao ambazo tayari zimeshawekwa juu huko. Oil chafu inapunguza tu tatizo kwa mda.
Hivi hawa wadudu wanakuwa wanatafuna wakiwa ndani au nje maana mbona wagumu kufa kama kunguni😬😬haisaidii, nishafanya hii mzee, wakawa kimya kama miezi 6 wakarudi
option ambayo binafsi niko mbioni kujaribu ni Diesel
Hahahah ukifikia kwenye petrol nishtue🤣haisaidii, nishafanya hii mzee, wakawa kimya kama miezi 6 wakarudi
option ambayo binafsi niko mbioni kujaribu ni Diesel
ndani,katikati ya mbao,Hivi hawa wadudu wanakuwa wanatafuna wakiwa ndani au nje maana mbona wagumu kufa kama kunguni😬😬
Kumbe ni hayo madudu mengine, mbona fumigation tu inawaondoa hao. Maduka ya agrovets utakosa kweli?kwangu mchwa sina kiukweli maana niliwadhibiti wasipande darini kutokea chini na nikaweza
picha ni kwamba hao dudu mende sikuwa nawajua kabla
nakuja kuwajua tayari washaweka kambi huko juu
na dudu mende ndiyo kichomi , maana wana mbawa wanaruka
mzee usicheke aisee, wanaumiza kishenzi hao jamaa 😅Hahahah ukifikia kwenye petrol nishtue🤣
Wanakuwa ndani ya mbao wanachimba kama wako mgodiniHivi hawa wadudu wanakuwa wanatafuna wakiwa ndani au nje maana mbona wagumu kufa kama kunguni😬😬
fumigation haisaidii nakuapiaKumbe ni hayo madudu mengine, mbona fumigation tu inawaondoa hao. Maduka ya agrovets utakosa kweli?
Dah hapo ngumu ukipata dawa ili iwafikie si inabidi uchane mbao🙆🏾♀️😬ndani,katikati ya mbao,
dawa ni ngumu kufika, hasa kwa 2x4 iliyosimama wima
Wakiwa ndaniHivi hawa wadudu wanakuwa wanatafuna wakiwa ndani au nje maana mbona wagumu kufa kama kunguni😬😬
nasikia Diesel inafika na kuwaua, japo sijajarib badoDah hapo ngumu ukipata dawa ili iwafikie si inabidi uchane mbao🙆🏾♀️😬
Sasa hizo product zenye boric kama active ingredient bongo zipo?Mchwa wanamalizwa na boric acid au bifen xta hasa kwa mbao ambazo tayari zimeshawekwa juu huko. Oil chafu inapunguza tu tatizo kwa mda.
Na mbaya zaidi hawaonekani unona vumbi tu linashuka kuingja kwenye mboga kama nyumba haina gypsum bodyMimi pia nimeuziwa hizi, nawasikia tu darini wanswaga. Kichwa kimepata moto sijui nawafanyaje!!!
Si bora ingekuwa haina gypsum ningeng'oa au kupiga oil? Mimi nishapiga gypsum na rangi kila kitu. Halafu ni conteporary kuingia darini mtihani!!!!Na mbaya zaidi hawaonekani unona vumbi tu linashuka kuingja kwenye mboga kama nyumba haina gypsum body