Wapaka rangi kucha wanavyofaidi wanawake

Ni uzushi tuu hiyo ya mipapaso inategemea na ntu na ntu
Mpaka mfike huko ina maana umejilegeza mwenywe

Acha wapate na wao kipato …..
 
Wanawafaidi sana tu hasa pale wanapokaa nusu uchi huku chupi ikionekana
 
Unaweza kuta mdada ana masters degree ya nuclear science lkn akienda kwa hao jamaa ana sandaa ata shikwa mipajaaa
 

Duh! Nawewe walikupaka vilangi kama ambaruty
 
Kila mtu afanye alionalo jema machoni kwake, muhimu havunji aman ya nchi....
 
Itabidi nianze hii kazi nitaanza na wewe nadhani Donatila inaonekana ni nzuri mno na marupurupu yapo ya kutosha kuliko hata ya bungeni πŸ€£πŸ€£πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…