Wapalestina 300,000 wameondoka Rafah, pameanza kupigwa

Wapalestina 300,000 wameondoka Rafah, pameanza kupigwa

Sio rahisi kushinda HAMAS maana ni magaidi wa kiislamu wanaojificha ndani ya akina mama na watoto, aidha uchague kupiga carpet bombing ufyatue kila mtu halafu dunia ipige makelele au utumie mbinu wanayotumia Israel ya kujaribu kuchambua, tatizo huko kwenye kuchambua bado kuna akina mama na watoto humo.

Ningependa sana mfanye upuzi kama huo kwa Wachina au Warusi uone wale walivyo, mnapigwa moja kwa moja, waulize waislamu wa Chechnya kilichowakuta hadi wakajikuta wanaunga juhudi za Urusi.
Ugaidi ni terrorism, process ya ugaidi ni watu wenye hofu, wasiojiamini, waoga wanaofizia. Hamas wajitokeze wanamalizwa ndani ya maaa 6
 
We dogo Uislam unapaa kila kukicha ndio mfahamu hayo hio ni dini ya Mungu.

We baki unaota Hamasi atabaki hapo hapo Israel ndio itaondoka hapo.
Unajua chochote kile mtu anachoamua kukiabudu ni Mungu wake hata uabudu Ng'ombe, Nyoka, Mto, Mlima au Jiwe basi hilo ndilo litakuwa ni mungu wako.

Hivyo hao magaidi wa Hamas wanaomwabudu huyo mungu wao anayeitwa allah na ndivyo na Israel nao wana Mungu wao anayeitwa Jehova.

Katika mambo ya imani kila watu wanamwamini Mungu wao na wakati huohuo kumdharau wa wengine.
 
Unajua chochote kile mtu anachoamua kukiabudu ni Mungu wake hata uabudu Ng'ombe, Nyoka, Mto, Mlima au Jiwe basi hilo ndilo litakuwa ni mungu wako.

Hivyo hao magaidi wa Hamas wanaomwabudu huyo mungu wao anayeitwa allah na ndivyo na Israel nao wana Mungu wao anayeitwa Jehova.

Katika mambo ya imani kila watu wanamwamini Mungu wao na wakati huohuo kumdharau wa wengine.
Acheni ujinga Mungu ni mmoja tu ndiye Mumbaji wa kila kitu.
 
Acheni ujinga Mungu ni mmoja tu ndiye Mumbaji wa kila kitu.
Sawa Mungu ni mmoja lakini kila mtu anamtambua katika appearance tofauti sio kama unavyomtambua wewe basi na kila mmoja amtambue hivyo, NO, hilo halipo na ndio maana hata serikali zinazojitambua hazijishughuliki na hilo.

Usije ukashangaa siku ya siku ikifika wale waliokuwa wanamuabudu Mungu wakimtambua kama Mlima, Mti, Nyoka au Ng'ombe wakaingia mbinguni na wewe uliyekuwa ukimuabudu bila reference yoyote ukaishia kwenda kula 🔥 wa milele.

Kumbe wale walikuwa wanamuabudu Mungu kiukweli kabisa lakini kupitia tu vitu hivyo lakini sio kwamba walikuwa wakiabudu hivyo vitu na hicho ni kitendawili kigumu kwa mwanadamu kuweza kuelewa.

Ninachojaribu kuongea hapo ni jambo gumu sana kwa wengi kuweza kuelewa sio wachungaji wala masheikh na ndio maana siku zote neno la Mungu ni very tricky to understand.
 
Sema huku si ndio tunamchukulia punda poa ila upande huo punda ni valuable sana
 
Haha eti dini ziko nyingi haha ikiwa ukristo haujulikani nani kauleta, alowasiliana vipi na Mungu mpa akambiwa hio ndio dini yake.

Malaika gani alishusha ukristo na hizo dini unazo ongelea.

Dini ni Uislam tu ndio imeshushwa kwa Mtume Muhammad kwa njia ya Malaika JIBRIL

Na wewe unaamini jua linazama kwenye matope?
 
Sawa Mungu ni mmoja lakini kila mtu anamtambua katika appearance tofauti sio kama unavyomtambua wewe basi na kila mmoja amtambue hivyo, NO, hilo halipo na ndio maana hata serikali zinazojitambua hazijishughuliki na hilo.

Usije ukashangaa siku ya siku ikifika wale waliokuwa wanamuabudu Mungu wakimtambua kama Mlima, Mti, Nyoka au Ng'ombe wakaingia mbinguni na wewe uliyekuwa ukimuabudu bila reference yoyote ukaishia kwenda kula 🔥 wa milele.

Kumbe wale walikuwa wanamuabudu Mungu kiukweli kabisa lakini kupitia tu vitu hivyo lakini sio kwamba walikuwa wakiabudu hivyo vitu na hicho ni kitendawili kigumu kwa mwanadamu kuweza kuelewa.

Ninachojaribu kuongea hapo ni jambo gumu sana kwa wengi kuweza kuelewa sio wachungaji wala masheikh na ndio maana siku zote neno la Mungu ni very tricky to understand.
😄 Yani mtu amfananishe Mungu na nyoka, mlima, ngo'mbe afu aingie peponi, wakati Mungu anakataza usimfananishe na kitu chochote kile.

Tatizo we humjui Mungu bado, ungemjua usinge mfananisha na vitu kama hivyo.
 
Haha eti dini ziko nyingi haha ikiwa ukristo haujulikani nani kauleta, alowasiliana vipi na Mungu mpa akambiwa hio ndio dini yake.

Malaika gani alishusha ukristo na hizo dini unazo ongelea.

Dini ni Uislam tu ndio imeshushwa kwa Mtume Muhammad kwa njia ya Malaika JIBRIL
Mudj mwenyewe alikuwa hajui kusoma wala kuandika ,,ila alikuwa anakula kitoto kidogo.
 
😄 Yani mtu amfananishe Mungu na nyoka, mlima, ngo'mbe afu aingie peponi, wakati Mungu anakataza usimfananishe na kitu chochote kile.

Tatizo we humjui Mungu bado, ungemjua usinge mfananisha na vitu kama hivyo.
Ningeshangaa sana kama ungenielewa lakini kwa kuwa umekaririshwa dini huwezi kunielewa kamwe.
 
Mpaka sasa wameshapata funzo kwamba Myahudi akidhamiria anapiga tu, wamekubali kujiondokea, magaidi ya dini yabaki yenyewe panyooshwe kama kwingine kule. Mtakaobaki hapo msianze kusema akina mama na watoto wameuawa....

Displaced Palestinians arrive in central Gaza after fleeing from the southern Gaza city of Rafah on Thursday, May 9, 2024.
Displaced Palestinians arrive in central Gaza after fleeing from the southern Gaza city of Rafah on Thursday, May 9, 2024. © Abdel Kareem Hana, AP

The Israeli military said on Saturday about 300,000 people have left eastern Rafah for the Al-Mawasi humanitarian area since it ordered an evacuation of the southern Gaza city on Monday.

The military has ordered Palestinians to leave more areas of eastern Rafah and the northern Gaza Strip as it pressed ahead with its fight against Hamas militants. Read our live blog to follow all the latest developments in the Israel-Hamas war.


brazaj
Haya soma hapo chini netanyahu na waziri wake wa ulinzi wameshapoteana huko, kinachoshangaza maeneo ambayo israel ilitangaza imeiangamiza hamas ,imegundulika kama vile hamas walikuwa mapumzikoni wamerudi kwa nguvu ile ile, waziri anamwambia netanyahu hatuwezi kupigana miaka ,lazima tutafute suluhu

Tulisema hapa wakati vita inaanza na hata marekani alitoa angalizo kwamba israel keshapotea njia hajui anachofanya zaidi ya kuangamiza raia na kuharibu miundombinu, ameshindwa kupigana na mgambo miezi nane sasa hamna chochote alichofanikiwa ,si mateka wala kuwamaliza hamas


 
Acheni ujinga Mungu ni mmoja tu ndiye Mumbaji wa kila kitu.
Wenzetu mungu wao alikaa tumboni kwa mwanamke miezi tisa na birthday yake 25 december
Ila alivyosulubiwa na yeye akaomba msaada kwa mungu
 
Mudj mwenyewe alikuwa hajui kusoma wala kuandika ,,ila alikuwa anakula kitoto kidogo.
Na hilo linadhihirisha utume wake ,hujiulizi mtu asiyejua kusoma na kuandika kuleta quran ambayo hadi scientist wanaitumia na researchers wameshindwa kuitoa kasoro hadi leo, will smith juzi aliisoma akasema its crystal clear kila kitu kipo wazi na hakina utata, huoni huo ni muujiza wa mungu?
Alikataza pombe,nguruwe , zinaa na kamari enzi hizo leo kila kukicha wanasayansi wanagundua athari mpya ya vitu hivyo
Aliielezea solar system karne hiyo hadi leo wanasayansi wakaelezea hivyo hivyo
Alielezea hadi asili ya chuma na juzi wanasayansi wakathibitisha hilo
Na mengine mengi ndio maana unaona hata hao wazungu waliokuletea huo ukristo wakisoma quran wanaona ukweli ulipo
 
Acha wapigwe tu hakuna namna. Walichokoza Wazayuni ili wakipigwa watafute huruma za watu?!!! Aljazeera wahedi 🤔
 
Na hilo linadhihirisha utume wake ,hujiulizi mtu asiyejua kusoma na kuandika kuleta quran ambayo hadi scientist wanaitumia na researchers wameshindwa kuitoa kasoro hadi leo, will smith juzi aliisoma akasema its crystal clear kila kitu kipo wazi na hakina utata, huoni huo ni muujiza wa mungu?
Alikataza pombe,nguruwe , zinaa na kamari enzi hizo leo kila kukicha wanasayansi wanagundua athari mpya ya vitu hivyo
Aliielezea solar system karne hiyo hadi leo wanasayansi wakaelezea hivyo hivyo
Alielezea hadi asili ya chuma na juzi wanasayansi wakathibitisha hilo
Na mengine mengi ndio maana unaona hata hao wazungu waliokuletea huo ukristo wakisoma quran wanaona ukweli ulipo
Huyu jamaa yenu Mudi kaja kakuta jamii teari zina hivo vitu,, chuma ilishakuwepo kabla hata dola ya Rum haijaanguka ,,,

Solar system watu walishaanza kuwa na uelewa nayo kabla ya Mwana wa Mungu Yesu Kristo,,

Afu unapaswa kujua kuwa Qur'an ni kitabu kilicho okoteza okoteza vitu kutoka kwenye biblia hasa agano la kale ,,Uislam ni mpango wa ukatoliki ,,

Waarabu ni jamii inayopenda sana haki pasipo kujua wajibu, jamii baguzi sana kuanzia ngazi ya koo kwa koo ,kabila kwa kabila ,, ndio kisa pia wanaowana wao kwa wao ,ndugu kwa ndugu ,,

Kwahiyo Mud alikuwa anapokea posho kutoka Roma kwa ajili ya kuendesha harakati zake hizi,,.
 
Huyu jamaa yenu Mudi kaja kakuta jamii teari zina hivo vitu,, chuma ilishakuwepo kabla hata dola ya Rum haijaanguka ,,,

Solar system watu walishaanza kuwa na uelewa nayo kabla ya Mwana wa Mungu Yesu Kristo,,

Afu unapaswa kujua kuwa Qur'an ni kitabu kilicho okoteza okoteza vitu kutoka kwenye biblia hasa agano la kale ,,Uislam ni mpango wa ukatoliki ,,

Waarabu ni jamii inayopenda sana haki pasipo kujua wajibu, jamii baguzi sana kuanzia ngazi ya koo kwa koo ,kabila kwa kabila ,, ndio kisa pia wanaowana wao kwa wao ,ndugu kwa ndugu ,,

Kwahiyo Mud alikuwa anapokea posho kutoka Roma kwa ajili ya kuendesha harakati zake hizi,,.
Ajabu kwamba mtu asiejua kusoma na kuandika karne hizo akajua mambo yote hayo ya dunia , na akajua hadi bahari zisizo changanyika hakika huo ni utukufu wa mungu kwa mtume wake,Ila hao hao roma wakashindwa kujua kuwa nguruwe ,kamali ushoga na pombe mungu kavikataza, na wakashindwa kujua kwamba yesu kakaa tumboni kwa mwanamke kwa miezi tisa hadi kazaliwa na wakamwita mungu
Ila mungu huyo akipata shida nayeye anamlilia mungu,huoni huo ni ujuha?
 
Back
Top Bottom