Wapalestina na mabosi zao wasitishie watu na harakati zao za juzi. Myahudi ameundwa katika harakati zaidi ya miaka 1000

Wapalestina na mabosi zao wasitishie watu na harakati zao za juzi. Myahudi ameundwa katika harakati zaidi ya miaka 1000

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Mateso ya wavamizi wa Kiajemi

Mateso ya wavamizi wa Kigiriki

Mateso ya wavamizi wa Kituruki

Mateso ya wavamizi wa Kiarabu

Mateso ya wavamizi wa Intifada

Mateso ya ugaidi wa Kiiran

Mateso ya mauaji ya NAZI

Mateso ya uhamisho na kufukuzwa Ulaya.

Mateso ya waandamanaji na Wapingaji wao wenye chuki binafsi.

Mateso ya unafiki wa UN.

Mateso ya uhamisho na kufukuzwa katika nchi za Kiarabu.

Vizazi vyao viko-coiled katika harakati, vizazi vyao vimeshazoea mateso, sasa unadhani itikadi kali zenu za juzi ndio zitawaangusha kirahisi rahisi hivyo.

Mtawaua 50,000. Watawauua 100,000

Mtawafukuza na kukaa uhamishoni miaka 100. Watarudi tena kukaa miaka 1000.
 
Umesahau kuandika msaada wa kijeshi na kundi la wanajeshi waliokuwa wanawapa makaburu wa SA, ili kuhakikisha kina Mandela Na wenzake wanaangamizwa katika nchi yao wenyewe ya asili, ili makaburu na waisrael waweze kubaki wenyewe katika nchi ya watu.

Hawa jamaa mnawasifu kwa mihemko ya kiitikadi mbali mbali, lkn kiuhalisia ni makatili hakuna mfano. Walitaka kuwaangamiza waafrika wenzetu huko SA. Na wangefanikiwa kuwaua kina Mandela na kuteka nchi, basi wangeofuatia kufa wangekuwa ni babu zetu, na babu zako mleta mada, ili waweze kutanua himaya yao mdogo mdogo kwa njia ya mauaji.

Bahati nzuri baba yetu wa taifa mwl J. Nyerere aliliona hili mapema, akaweka mihemko ya imani pembeni, na kuvaa kwanza uafrika na utu ili awasaidie ndugu zetu kupigania nchi yao.
 
Mateso ya wavamizi wa Kiajemi

Mateso ya wavamizi wa Kigiriki

Mateso ya wavamizi wa Kituruki

Mateso ya wavamizi wa Kiarabu

Mateso ya wavamizi wa Intifada

Mateso ya ugaidi wa Kiiran

Mateso ya mauaji ya NAZI

Mateso ya uhamisho na kufukuzwa Ulaya.

Mateso ya waandamanaji na Wapingaji wao wenye chuki binafsi.

Mateso ya unafiki wa UN.

Mateso ya uhamisho na kufukuzwa katika nchi za Kiarabu.

Vizazi vyao viko-coiled katika harakati, vizazi vyao vimeshazoea mateso, sasa unadhani itikadi kali zenu za juzi ndio zitawaangusha kirahisi rahisi hivyo.

Mtawaua 50,000. Watawauua 100,000

Mtawafukuza na kukaa uhamishoni miaka 100. Watarudi tena kukaa miaka 1000.

View: https://x.com/EYakoby/status/1842051911328960757
 

Hahahaha propaganda za kipumbavu zilizotengenezwa kwa ajili wa wapumbavu. Hivi mtu alievaa mask hata akiwa mzungu au myahudi utamjuaje?

Lengo ni kutaka kuwazubaisha wapumbavu kwamba Hamas haipo kwa ajili ya kuwapigania wapalestina. Hizi propaganda zipo na zinaendelea kuwepo kupitia media zao mbali mbali ili kuwapata wajinga. Lakini wenye ajili timamu hawakamatiki Kwa ujinga huu.
 
Hahahaha propaganda za kipumbavu zilizotengenezwa kwa ajili wa wapumbavu. Hivi mtu alievaa mask hata akiwa mzungu au myahudi utamjuaje?

Lengo ni kutaka kuwazubaisha wapumbavu kwamba Hamas haipo kwa ajili ya kuwapigania wapalestina. Hizi propaganda zipo na zinaendelea kuwepo kupitia media zao mbali mbali ili kuwapata wajinga. Lakini wenye ajili timamu hawakamatiki Kwa ujinga huu.
Kobazi mnakuaga ni mashoga sana yaani unatetea magaidi kisa dini shenzi sana
 
Mateso ya wavamizi wa Kiajemi

Mateso ya wavamizi wa Kigiriki

Mateso ya wavamizi wa Kituruki

Mateso ya wavamizi wa Kiarabu

Mateso ya wavamizi wa Intifada

Mateso ya ugaidi wa Kiiran

Mateso ya mauaji ya NAZI

Mateso ya uhamisho na kufukuzwa Ulaya.

Mateso ya waandamanaji na Wapingaji wao wenye chuki binafsi.

Mateso ya unafiki wa UN.

Mateso ya uhamisho na kufukuzwa katika nchi za Kiarabu.

Vizazi vyao viko-coiled katika harakati, vizazi vyao vimeshazoea mateso, sasa unadhani itikadi kali zenu za juzi ndio zitawaangusha kirahisi rahisi hivyo.

Mtawaua 50,000. Watawauua 100,000

Mtawafukuza na kukaa uhamishoni miaka 100. Watarudi tena kukaa miaka 1000.
Wacheni kudanganya watu, myahudi ni imani isio amini kwenye nchi fulani.

Mnadanganywa na mazayuni.
. Hao mazayuni hawawatambui mnaojiita wakristo wala walokole. Wakiwaona wanawatemea makohozi. Wanawatumia mashetani wa marekani na uingereza kwa kuwafuga kama wanavyofugwa mashetani wengine.
 
Hahahaha propaganda za kipumbavu zilizotengenezwa kwa ajili wa wapumbavu. Hivi mtu alievaa mask hata akiwa mzungu au myahudi utamjuaje?

Lengo ni kutaka kuwazubaisha wapumbavu kwamba Hamas haipo kwa ajili ya kuwapigania wapalestina. Hizi propaganda zipo na zinaendelea kuwepo kupitia media zao mbali mbali ili kuwapata wajinga. Lakini wenye ajili timamu hawakamatiki Kwa ujinga huu.
Matapeli wa kiimani nyie.

Wapumbavu ndio wahanga wenu.
 
Umesahau kuandika msaada wa kijeshi na kundi la wanajeshi waliokuwa wanawapa makaburu wa SA, ili kuhakikisha kina Mandela Na wenzake wanaangamizwa katika nchi yao wenyewe ya asili, ili makaburu na waisrael waweze kubaki wenyewe katika nchi ya watu.

Hawa jamaa mnawasifu kwa mihemko ya kiitikadi mbali mbali, lkn kiuhalisia ni makatili hakuna mfano. Walitaka kuwaangamiza waafrika wenzetu huko SA. Na wangefanikiwa kuwaua kina Mandela na kuteka nchi, basi wangeofuatia kufa wangekuwa ni babu zetu, na babu zako mleta mada, ili waweze kutanua himaya yao mdogo mdogo kwa njia ya mauaji.

Bahati nzuri baba yetu wa taifa mwl J. Nyerere aliliona hili mapema, akaweka mihemko ya imani pembeni, na kuvaa kwanza uafrika na utu ili awasaidie ndugu zetu kupigania nchi yao.
Umesahau vibaraka wa nchi zenu za kiarabu maafa waliofanya kwa watu for the sake ya dini yenu ya kitapeli.???
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    26.6 KB · Views: 3
Umesahau vibaraka wa nchi zenu za kiarabu maafa waliofanya kwa watu for the sake ya dini yenu ya kitapeli.???
Wewe jamaa EliNyahu , chuki za kidini zinakutesa sana kiasi ambacho kinaondosha uwezo wako wa kufikiria na kukufanya uwe mweupe kichwani , Mmatumbi ngozi nyeusi unateseka na Mayahudi na kuwa chawa wao kuliko wenyewe ?

Mayahudi hao ndio waliowau kwa dhuluma Manabii wengi wanampinga Yesu na Mama Yake , hao wazungu ndio Zamani walikuwa wanawaita "Jesus Killer" pamoja na kuwapa mateso makali ,mauaji na unyanyasaji na kipindi hiko wakakimbikia kwa Waislamu na wakaishi salama.

Je unajua maafa yaliofanyika na yaliloletwa kwa watu for the sake ya dini yenu ya kitapeli ?
 
Wewe jamaa EliNyahu , chuki za kidini zinakutesa sana kiasi ambacho kinaondosha uwezo wako wa kufikiria na kukufanya uwe mweupe kichwani , Mmatumbi ngozi nyeusi unateseka na Mayahudi na kuwa chawa wao kuliko wenyewe ?

Mayahudi hao ndio waliowau kwa dhuluma Manabii wengi wanampinga Yesu na Mama Yake , hao wazungu ndio Zamani walikuwa wanawaita "Jesus Killer" pamoja na kuwapa mateso makali ,mauaji na unyanyasaji na kipindi hiko wakakimbikia kwa Waislamu na wakaishi salama.

Je unajua maafa yaliofanyika na yaliloletwa kwa watu for the sake ya dini yenu ya kitapeli ?
Hakuna asiejuwa kuwa wewe na dini yako ni matepeli wa kiroho Hhah

Adriz au a-diddy haha bwana yenu amekufa nasrah amekufa sasa nani anabaki kuwapaka mafuta hahah
 
Back
Top Bottom