Wapalestina na mabosi zao wasitishie watu na harakati zao za juzi. Myahudi ameundwa katika harakati zaidi ya miaka 1000

Wapalestina na mabosi zao wasitishie watu na harakati zao za juzi. Myahudi ameundwa katika harakati zaidi ya miaka 1000

Umesahau vibaraka wa nchi zenu za kiarabu maafa waliofanya kwa watu for the sake ya dini yenu ya kitapeli.???
Naona Netanyahu anakushindilia kibunzi mdogo mdogo ili ubarikiwe na taifa lake.
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    12.7 KB · Views: 3
Mateso ya wavamizi wa Kiajemi

Mateso ya wavamizi wa Kigiriki

Mateso ya wavamizi wa Kituruki

Mateso ya wavamizi wa Kiarabu

Mateso ya wavamizi wa Intifada

Mateso ya ugaidi wa Kiiran

Mateso ya mauaji ya NAZI

Mateso ya uhamisho na kufukuzwa Ulaya.

Mateso ya waandamanaji na Wapingaji wao wenye chuki binafsi.

Mateso ya unafiki wa UN.

Mateso ya uhamisho na kufukuzwa katika nchi za Kiarabu.

Vizazi vyao viko-coiled katika harakati, vizazi vyao vimeshazoea mateso, sasa unadhani itikadi kali zenu za juzi ndio zitawaangusha kirahisi rahisi hivyo.

Mtawaua 50,000. Watawauua 100,000

Mtawafukuza na kukaa uhamishoni miaka 100. Watarudi tena kukaa miaka 1000.
waarabu wote wanavuta SKANKA!!
 
Hakuna asiejuwa kuwa wewe na dini yako ni matepeli wa kiroho Hhah

Adriz au a-diddy haha bwana yenu amekufa nasrah amekufa sasa nani anabaki kuwapaka mafuta hahah
Nimemaliza nasepa zangu Mimi singalii mambo kishabiki na siko kichuki wala kubishana kifujo na porojo bila facts , Mimi nina misimamo yangu ndio maana huwezi Kuta mahali nashabikia Hamas , Hezbollah nk bali nina chunguza na kupima kwa makini kila jambo.
 
Mission ya kuwapa silaha makaburu na kwenda kuwasaidia kuwaua waafrika kusini kwenye nchi yao imeshindwa. Sasa mnatapa tapa kama kuku aliekatwa kichwa.
Nyie ni kundi la kitapeli kuwahi kutokea duniani na ukiangalia wafuasi wenu ni janga la wapumbavu kuwahi kutokoea
Screenshot_20241004-113226.png
 
Nimemaliza nasepa zangu Mimi singalii mambo kishabiki na siko kichuki wala kubishana kifujo na porojo bila facts , Mimi nina misimamo yangu ndio maana huwezi Kuta mahali nashabikia Hamas , Hezbollah nk bali nina chunguza na kupima kwa makini kila jambo.
Unasepa wapi, unakufa??? Hahah niachie bikra mmoja angalau ukikutana nae huko
Screenshot_20241004-113402.png
 
Hahahaha propaganda za kipumbavu zilizotengenezwa kwa ajili wa wapumbavu. Hivi mtu alievaa mask hata akiwa mzungu au myahudi utamjuaje?

Lengo ni kutaka kuwazubaisha wapumbavu kwamba Hamas haipo kwa ajili ya kuwapigania wapalestina. Hizi propaganda zipo na zinaendelea kuwepo kupitia media zao mbali mbali ili kuwapata wajinga. Lakini wenye ajili timamu hawakamatiki Kwa ujinga huu.

View: https://x.com/EYakoby/status/1842051911328960757
 
Wacheni kudanganya watu, myahudi ni imani isio amini kwenye nchi fulani.

Mnadanganywa na mazayuni.
. Hao mazayuni hawawatambui mnaojiita wakristo wala walokole. Wakiwaona wanawatemea makohozi. Wanawatumia mashetani wa marekani na uingereza kwa kuwafuga kama wanavyofugwa mashetani wengine.
Wanaofuga majini na mashetani na kuwaita marafiki zao
Wanajulikana usipotoshe mkuu
 
Umesahau kuandika msaada wa kijeshi na kundi la wanajeshi waliokuwa wanawapa makaburu wa SA, ili kuhakikisha kina Mandela Na wenzake wanaangamizwa katika nchi yao wenyewe ya asili, ili makaburu na waisrael waweze kubaki wenyewe katika nchi ya watu.

Hawa jamaa mnawasifu kwa mihemko ya kiitikadi mbali mbali, lkn kiuhalisia ni makatili hakuna mfano. Walitaka kuwaangamiza waafrika wenzetu huko SA. Na wangefanikiwa kuwaua kina Mandela na kuteka nchi, basi wangeofuatia kufa wangekuwa ni babu zetu, na babu zako mleta mada, ili waweze kutanua himaya yao mdogo mdogo kwa njia ya mauaji.

Bahati nzuri baba yetu wa taifa mwl J. Nyerere aliliona hili mapema, akaweka mihemko ya imani pembeni, na kuvaa kwanza uafrika na utu ili awasaidie ndugu zetu kupigania nchi yao.
Natamani jamii forum wengine wpunguzwe wabaki wenye uelewa na fikra huru kama wewe....hongera kwa msaada wako na si hao washabiki
 
Mateso ya wavamizi wa Kiajemi

Mateso ya wavamizi wa Kigiriki

Mateso ya wavamizi wa Kituruki

Mateso ya wavamizi wa Kiarabu

Mateso ya wavamizi wa Intifada

Mateso ya ugaidi wa Kiiran

Mateso ya mauaji ya NAZI

Mateso ya uhamisho na kufukuzwa Ulaya.

Mateso ya waandamanaji na Wapingaji wao wenye chuki binafsi.

Mateso ya unafiki wa UN.

Mateso ya uhamisho na kufukuzwa katika nchi za Kiarabu.

Vizazi vyao viko-coiled katika harakati, vizazi vyao vimeshazoea mateso, sasa unadhani itikadi kali zenu za juzi ndio zitawaangusha kirahisi rahisi hivyo.

Mtawaua 50,000. Watawauua 100,000

Mtawafukuza na kukaa uhamishoni miaka 100. Watarudi tena kukaa miaka 1000.
tulia wewe upigwe na kobazi la kalio...stori za nini hapa
 
Mateso ya wavamizi wa Kiajemi

Mateso ya wavamizi wa Kigiriki

Mateso ya wavamizi wa Kituruki

Mateso ya wavamizi wa Kiarabu

Mateso ya wavamizi wa Intifada

Mateso ya ugaidi wa Kiiran

Mateso ya mauaji ya NAZI

Mateso ya uhamisho na kufukuzwa Ulaya.

Mateso ya waandamanaji na Wapingaji wao wenye chuki binafsi.

Mateso ya unafiki wa UN.

Mateso ya uhamisho na kufukuzwa katika nchi za Kiarabu.

Vizazi vyao viko-coiled katika harakati, vizazi vyao vimeshazoea mateso, sasa unadhani itikadi kali zenu za juzi ndio zitawaangusha kirahisi rahisi hivyo.

Mtawaua 50,000. Watawauua 100,000

Mtawafukuza na kukaa uhamishoni miaka 100. Watarudi tena kukaa miaka 1000.
tulia wewe upigwe na kobazi la kalio...stori za nini hapa
 
Natamani jamii forum wengine wpunguzwe wabaki wenye uelewa na fikra huru kama wewe....hongera kwa msaada wako na si hao washabiki
Asante sana mkuu. Muda mwingine ukweli ni mzuri kuzungumziwa au kuandikwa kama hivi, hata kama ukweli huo unaumiza watu wanaosikia au kusoma.
 
Back
Top Bottom